JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ukisikia kazini Kuna kazi ndiyo hii Sasa 👇 Kamanda akipiga doria.
6 Reactions
9 Replies
479 Views
Wazee sijui ni mimi ndo nimekua konkodi kiasi kwamba pombe zinadunda au vipi? Kuna hii pombe ina ladha ya whiskey inaitwa captain Morgan. Wahusika wanajitahidi sana kuipromote but sioni kama...
0 Reactions
12 Replies
916 Views
Hii dunia ina watu wa ajabu Sana. Huyu rafiki yangu ana asili ya Mbulu na anaishi Bunju ambako ana mke na watoto wawili. Last week alinipigia simu mida ya saa kumi na mbili jioni kuwa anataka...
10 Reactions
29 Replies
1K Views
Kama nilivyoanza story yangu leo tarehe 17/06/2025 nimefikisha miaka miwili kabisa yakutumia usafiri wa mwendokasi( BRT ) kama usafiri wangu kwenda na kurudi kazini kila iitwapo leo. Sasa basi...
3 Reactions
9 Replies
377 Views
Ni kinywaji kutoka south 🌍 basi ndoo imekuwa hbr ya mjini hapa jiji dodoma kwani bila kumunulia mwanamke hicho kinywaji unaweza kukuacha na kutafuta danga jipya mwenye uwezo thabiti na madhubuti...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
😄 "Miaka 60+ ya uhuru bado tunajadili barabara, maji na umeme, halafu wewe una miaka hiyo hiyo 60+ unalalama tu😈😈. Basi tuambie, kati ya Taifa na tumbo lako, nani aliyefanya uzembe? Au ulikuwa...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Kwema wakuu, natumaini siku imekuwa poa kwenu. Alright, tiririka ni harufu (scent/smell) ya kitu gani unaipenda zaidi? Copy to: secretarybird | Binti Sayuni03 To yeye | Joanah | dosho12 Lax |...
16 Reactions
241 Replies
6K Views
Kwanza niwasalimie ,shikamooni Wadogo zangu,marhaba. Jamani ,nimewamiss Sana,Maria miye,nishaanza kuzoea huu mtandao, nilichogundua,huku ni wachache na ni rahisi watu kuchat kama familia, Namiss...
5 Reactions
30 Replies
887 Views
Tufahamishane jamani, sijawahi kusikia mtu mzima au wa makamo anaitwa Kelvin, kwani wenye haya majina hawakui?
5 Reactions
39 Replies
1K Views
Israeli huwa hawabahatishi katika Target zao Kudadadeki. Sasa kama huyo Mtangazaji Mwanamama wa Televisheni ya Taifa Iran alikuwa anajifanya Kutangaza kwa Kujiamini na Kutoogopa nini kilimfanya...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Natamani nami siku moja niweze kuhudhuria kikao cha G7, imekuwa ni ndoto yangu ya siku nyingi sana tangu nikiwa mdogo; sasa sijui itabaki kuwa ndoto tu au ipo siku nami nitashiriki? Wananzengo...
1 Reactions
0 Replies
206 Views
Majina yenye maana nzuri na yanavutia sio ilimradi. Majina kama kgani, sijui yakwenye movie hapana. Ni msaada wenye masharti
3 Reactions
64 Replies
2K Views
Shalom wakuu. 5. Tottenham Imemaliza mkiani EPL(17), ila inastahili baada ya kutwaa Europa hivyo kuingia UCL. 4. Liverpool The Reds msimu huu wametwaa EPL, walikua bora sana kabla ya kupoteana...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
Interesting...!:p Ni kitu gani ulikipata kutoka kwa Ex na umekaa nacho hadi sasa?
5 Reactions
20 Replies
859 Views
Katika pita pita zangu nimekutana na mdada mmoja yupo London kaniambia kanielewa na ana zawadi anataka anitumie hivo muhuni kutokana na matukio nimekutana nayo nikaona nimtajie jina lisilo langu...
13 Reactions
29 Replies
1K Views
Heshima mbele GTs Kati ya jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi, Ijumaa, na jumamosi, ni siku ipi/zipi unaipenda katika wiki? kwanini? ~ Nomadix
8 Reactions
78 Replies
3K Views
Kwanza sio mimi ndio nataka ushauri maana vijana wa JF nawajua sanaa🤣🤣🤣 Anyway, karibuni kwa michango.
3 Reactions
10 Replies
321 Views
mzabzab usiniulize nimepata picha yako wapi 🤣🤣 -Jasusi Cohen🚀
4 Reactions
1 Replies
285 Views
Back
Top Bottom