1. Chesco Kaguo,Mtaje rafiki yako ambaye alifariki mapema sana na hutawahi kumsahau, naanza na mimi kaka yangu mtoto wa mama mdogo.
Rest in peace broh.
So sad mkuu.....Mgololo primary Kuna Moja ya Masanja Jr. Pia So sad.Mgololo primary school 2005
wewe mdada tulikuwa tunakata nyasi ukaniongezea nyingine ili nisiadhibiwe nilikuwa mgeni shuleni.
Wewe mdada uliwasimulia wenzio hadithi nzuri sana haijawah simuliwa pale kijijini ukasema utaimalizia jioni ukitoka mtoni.
Kumbe ndio ulikuwa unayafuata mauti yako. Sikukufahamu sana ila nitaendelea kuumia daima dumu!
pole yasikie tuu mimi sio rafiki tuu 34 yrs na nishafiwa na watoto wawili asikuambie mtu.Poleni sana, Sijawahi experience kufiwa na rafiki wa karibu but I can feel the pain.....May their soul rest easy
Pole sanaUlale salama ndugu yangu Barnabas A siku nakupigia kukujulia hi unaniambia nasikia sasa una mtoto basi njoo na wife mwezi wa 12 tumwone mwanetu tukapiga soga sana na kucheka mwezi wa 12 hata hukuuona nikaja kukuzika mwezi wa 11 kumbe ndio ulikuwa unaniaga joh! sitokusahau arawa hukuacha hata mtoto miaka24 tuu tutaonana blood.