JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za mchana wakuu nina shida na wanafunzi waliomaliza SHULE YA SEKONDARI AMANA ISLAMIC iliyopo MTWARA MJINI nawatafuta wanafunzi tuliohitimu kidato cha sita mwaka 2017 Nawaomba kama wapo humu...
0 Reactions
2 Replies
51 Views
Nimeona Kuna mijadala humu kuhusu jamii forum kuwa na warembo, binafsi Mimi nilisha wahi pata bahati ya kuwaona na nikawachunguza na wakanijua japo sikutaja I'd yangu nawao hawakunitajia I'd zao...
7 Reactions
93 Replies
747 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
278 Reactions
431K Replies
20M Views
  • Closed
Wakuu wa JF, naomba dakika chache za muda wenu. Leo naandika kwa unyenyekevu nikitumaini nitapata mtu wa kuniamini na kunipa nafasi ya kuanza upya. Habari zenu wakuu. Kwa kweli nimefikiria sana...
14 Reactions
54 Replies
545 Views
  • Closed
NILIOMBA TSH 20,000 LEO... LAKINI KUNA KITU KIKUBWA ZAIDI NILICHOKIPATA. Leo nimejifunza kwamba maisha yanaweza kukushusha mpaka ukafikia hatua ambayo hukuwahi kufikiria. Unaweza kuamka ukiwa na...
3 Reactions
13 Replies
286 Views
Yaani ni makebo juu ya makebo, tena hadi mtu anakatakiwa usoni kabisaa sura haionekani😁 Ngoja niwahi nyumbani aissee
16 Reactions
38 Replies
1K Views
Wapendwa.. Kwanini Watanzania wanapenda singeli.. kijana ukimpa nyimbo ya boni mwaitege na d voice au malume.. atachagua malume.. hivi hili mnalionaje???
10 Reactions
45 Replies
431 Views
Nimeenda kwa duka nikanunua ice cream mimi sjawai kutumia.nimeuma icecream kama mkate aisee kitu ni baridi.leo ndoh nimejua kuwa inalambwa sio kuumwa.
0 Reactions
2 Replies
53 Views
Wengine sijui ndio umri au vipi, hizi lugha za mtaani zinaanza kutupita sasa. Rafiki wa girlfriend au mkeo akikuita shem darling anamaanisha nini. Hii shem darling ni jina, utani au code?
15 Reactions
108 Replies
1K Views
Unajua kioo cha kweli ni macho ya watu na jamii kwa ujumla, sio unajifungia ndani, unajiangalia af unasema we mzuri. acha jamii iamue wewe uko kundi gani. Mimi nilijijua kwa namna watu...
7 Reactions
45 Replies
449 Views
  • Closed
Naomba Mkopo wa TSh 20,000 – Nimekwama kwa Sasa Habari wakuu wa JamiiForums. Naomba kwa heshima kama kuna mdau mwenye uwezo wa kunikopesha TSh 20,000. Kwa sasa nimejikuta kwenye kipindi kigumu...
11 Reactions
162 Replies
1K Views
Haya haya wambea wenzangu njooni..!! 😹 Juzi kati nilishikwa na homa. Sasa kuna mtoto wa sis angu alikuja kunisalimia ni mwanachuo wa chuo kimoja hapa jijini..!! Tukaanza kupiga story na kupeana...
21 Reactions
163 Replies
3K Views
Nimekutana na utani mwingi huko Tiktok unaosema kuwa “Unatoka out na mpenzi wako afu mnapanda bodaboda? Sasa io ni out au delivery mwanetu????" 😂 Kwa mimi ninavyoelewa Boda boda au Pikipiki ni...
10 Reactions
172 Replies
1K Views
sisi ni mandege wakuu hapa JF hamna wakulinganishwa nasi.ukileta za kuleta tunakudonoa na midomo yetu.
6 Reactions
17 Replies
201 Views
siri gani inayomfanya mtu mzima ashindwe kusahau mapenzi yake ya kwanza? Karibuni jukwaani tufunguke."
6 Reactions
76 Replies
513 Views
Kumbukumbu zangu zote naweka hapa kwenye huu uzi soon mtapenda
5 Reactions
88 Replies
1K Views
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza! Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza! Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na...
54 Reactions
10K Replies
382K Views
MEN ARE SIMPLE, unamsaidia leo 50k baada ya miaka kumi unashangaa anakupigia simu akulipe fadhira karibia mara 50 yake, unamwambia NO ila ana insist.
6 Reactions
6 Replies
116 Views
Habari za sku nyingi wakuu
3 Reactions
15 Replies
114 Views
Kichwa kinajieleza. Ni jukwaa gani unalipenda sana humu yani..¡! Kila ukiingi jf hile jukwaa ni lazima ulitembelee tu Ni zipi sababu za wewe kulipenda hilo jukwaa..? Binafsi muda mwingi nipo...
0 Reactions
2 Replies
39 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…