F fired JF-Expert Member Joined Apr 4, 2021 Posts 231 Reaction score 488 Tuesday at 12:02 AM #1 Mvuta bangi alikua anaongea na mlaji miraa. Mlaji miraa akauliza mvuta bangi kama india ni mbali na tanzania. Mvuta bangi akasema ni karibu kwa sababu mkubwa wangu mhindi huja na baiskeli kila siku kutoka india asubuhi kazini
Mvuta bangi alikua anaongea na mlaji miraa. Mlaji miraa akauliza mvuta bangi kama india ni mbali na tanzania. Mvuta bangi akasema ni karibu kwa sababu mkubwa wangu mhindi huja na baiskeli kila siku kutoka india asubuhi kazini
MAWEED JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 4,116 Reaction score 14,250 Tuesday at 12:06 AM #2 Acha utoto sio ukijiskia kutype unajiandikia utumbo tu