Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,909
- 3,726
Watu tunakunywa bia zetu kwa adabu. Alafu mnazikemea kwani bia zina mapepo.Eti pepo yakunywa bia ishindwe. Kwan jini anaishi kwenye chupa ya bia. Nyie wachungaj wakilokole ipeni kinywaji chetu heshima. Bia sio dhambi hata Yesu alifanya mijiuza ya pombe sawasawa na bia tunayoinywa leo.