Umri wako.

Umri wako.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
(a)3(N+1)=M. (b)M-(2N+3)=P. Substitute N kwa umri wako,jibu la equation(b) i.e P=umri wako!mfano umri wako ni miaka 21,then;(a)3(21+1)=66;(b)66-(42+3)=21 ambao ndo umri wako!
 
Let me explain; (i)chukua umri wako,jumlisha na 1,jibu utakalopata lizidishe mara 3.Jibu utakalopata tulipe jina A. (ii)Chukua umri wako,uzidishe mara 2,kisha jumlisha na 3.jibu utakalopata tulipe jina B. (iii)A-B=Umri wako!
 
Let me explain; (i)chukua umri wako,jumlisha na 1,jibu utakalopata lizidishe mara 3.Jibu utakalopata tulipe jina A. (ii)Chukua umri wako,uzidishe mara 2,kisha jumlisha na 3.jibu utakalopata tulipe jina B. (iii)A-B=Umri wako!

sijakuelewa kabsaaa... mi nilijua umeleta swali!
 
Let me explain; (i)chukua umri wako,jumlisha na 1,jibu utakalopata lizidishe mara 3.Jibu utakalopata tulipe jina A. (ii)Chukua umri wako,uzidishe mara 2,kisha jumlisha na 3.jibu utakalopata tulipe jina B. (iii)A-B=Umri wako!

samahani nikichukua umri wa mtu mwingine inabidi nijumlishe na 2 au inakuwaje?
 
(a)3(N+1)=M. (b)M-(2N+3)=P. Substitute N kwa umri wako,jibu la equation(b) i.e P=umri wako!mfano umri wako ni miaka 21,then;(a)3(21+1)=66;(b)66-(42+3)=21 ambao ndo umri wako!

thanx very 4 ur useful puzzles. but umebadilisha gamba la avatar....mmmmmmmmmhhhhhh! afu unatoa vipazo vya hesabu........
yaaani avatar yako yenyewe kwa sasa c shirikishi then unatoa namba. nadhani uwe unaandika sana thread za vitisho, mauaji nk
otherwise watu tutakuwa tunaogopa kabisaaaa namba
 
kwa wale tuliopitia Mahesabu ukiondoa mabano unapata N=P, ipo sawa waelimishe wana JF
solution
3(N+1)=M. (b)M-(2N+3)=P.
3(N+1)-(2N+3)=P.
3N+3-2N-3=P
3N-2N=P
N=P
N=P ni umri wako takao jaza
 
nani kauruhusu kutumia picha ya Mh. ??
 
Mh, mkimaliza kujadili Hesabu zenu mtuambie, ili turudi!!:dance::dance:
 
Duh kweli heshabu ni kama baskeli, kama hujui kuendesha huji tu, na kama unajua unajua tu full stop.:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Sasa kama nimeishaweka umri wangu, kwene huo mlolongo wote wa hesabu natafuta nini? Haya si ndio yale mambo ya 2x+3=7 find x? Wakati x kila mtu anaiona hapo.
 
Sasa kama nimeishaweka umri wangu, kwene huo mlolongo wote wa hesabu natafuta nini? Haya si ndio yale mambo ya 2x+3=7 find x? Wakati x kila mtu anaiona hapo.
Reversible equation,siku zote kwenye equation za ku-guess umri ni lazima uanze na umri wa mtu,then utamwambia either zidisha mara kadhaa,au gawa kwa namba fulani,mwisho wa siku utarudi pale pale.
 
ni kweli bwana hata mimi nimejaribu nimeona hiyo equation.
 
Back
Top Bottom