Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba...
Jamani hivi tunakwenda wapi? hili zoezi la kuwa kila siku viongozi wa serikali wanafurutisha, je hiyo kasma imetoka wapi na sasa hata balozi zimeanza huu mchezo. Hivi ikifika shughuli za madhehebu...
Salaaam wana jf, kuna kitu nimekuwa nikijiuliza hivi kuzaa/kuzaliwa mtu handsome kwa wanaume na beutiful kwa wanawake je nini sababu?
1. Je inategemea na wazazi kuwa beutiful na handsome?
2.Ni...
Katika kupitia maoni na mada mbali mbali zinazojadiliwa kwenye JF nimegundua jambo moja la msingi amablo watu wengi lazima hulijadili nalo ni la Dini .
Dini imechukuwa nafasi kubwa kwenye...
when I was a KID:
Pussy meant CAT,
Sex meant GENDER,
Bitch was a FEMALE DOG,
Dick was a NAME,
BJ was a NICK-NAME,
Bang was a SOUND,
Rubber was just like PLASTIC,
Ass was an ANIMAL,
Screw...
Hivi dunia hii ni yako au umekodi? Asubuhi umeamka hukusali, mchana umepita hukumshukuru MUNGU na usi ku huu unataka kulala bila kuomba, hebu amka usali ndipo ulale.
Glasses for Work
I came home from work last night exhausted. I said to my wife, "I need my glasses checked. I'm so nearsighted I nearly worked myself to death."
Perplexed, the wife asked...
Once in a conference three scientists, from China, Germany, and Tanzania were talking and bragging about the technological advances their representantive countries have achived in the field of...
TANGAZO KWA WAHEHE WOTE:
Chuo kipya kabisa cha Kihehe kimefunguliwa Kihesa, Iringa.
(HEHE SKILLS AND TECHNICAL COLLEGE OF LIFE)
Kinatangaza kozi za mwaka 2011/2012 kama ifuatavyo:
1.Kugema ulanzi...
kuna hali fulani ya wananchi kumchoka raisi akiwa bado madarakani mfano mwinyi, mkapa na sasa jk. Lakini baada ya kuchaguliwa raisi anaefuata mambo huwa tofauti na wananchi wengi husema afadhali...
Click link hii hapa chini, na uangalie tofauti ya hizo picha mbili utakazoziona..
Note: Usifungue kama una-hisi una pressure
http://www.susya.ru/flash/fvp.swf
msikilize mkinga yule wa ndani kabisa vijijini, utagundua hawezi kutamka neno "NAKUJUA" na badala yake hutamka "NAKOJOA".
Ndo maana kwenye mabishano fulani nilimsikia mkinga anawaambia wenzio wa...
Jamani a weekend full of fun.
The game: liverpool versus arsenal.
Wapi tukakae kwenye screen kubwa?
mimi naona iwe hivi.
Dar... Double view hotel Sinza
Mbeya.. Mbeya hotel
Iringa... Shine...
Habari wana jamvi? Naimani wengi wenu mmeshatoka makazini na bilashaka mmetulia majumbani mwenu,
Ni hali ambayo inatokea wanapokutana mwanaume na mwanamke wote wabishi na mwanaume akimtaka...