YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
kuna hali fulani ya wananchi kumchoka raisi akiwa bado madarakani mfano mwinyi, mkapa na sasa jk. Lakini baada ya kuchaguliwa raisi anaefuata mambo huwa tofauti na wananchi wengi husema afadhali aliyepita...kwasasa watz wengi wanasema heri ya mkapa angalau hata hotuba tulikuwa tunazielewa, alikuwa na maamuzi fedha ilikuwa inathamani n.k....sasa hivi najiuliza hii trend itaendelea kwa mkulu wa sasa, sijui tutasema afadhali kwa lipi??