Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
TIM;Hivi lini utastaarabika Tom,kila tukipewa vipande vya nyama wewe unawahi kipande kikubwa mimi unaniachia kidogo,why? TOM;Wewe ungekuwa wakwanza kuchagua ungechukua kipande kipi? TIM;Kwa sababu mimi ni mstaarabu ningechukua kipande kidogo! TOM;Sasa unacholalamika ni nini,kumbe hata ukiwa wa kwanza kuchagua nyama utachagua kipande kidogo basi kipande kikubwa ni halali yangu!