maneno haya niliambiwa wakati nafika mtwara ni ya kweli aiseeee, mgeni chunga!!!!!!!!!!!! Akiweza pia afike mtwara!karibu sana kwetu lindi, hotel ipo nzuri sana inaitwa lindi oceanic hotel, unakula upepo wa bahari, ila bei yake ni ndefu kidogo kwa wale wenye allowance za serikal.
Zip nyingine nzuri tu kama Adela, Kadogoo, Vision hotel n.k. Karibu sana Lindi ila kumbuka vitu cheap huku ni chumvi na mademu. take care usije ukajione handsome kwani huku ni fully kujiachia na wamwela na wamakonde.
Mji wa KIMWINYI ule hauna HOTEL nzuri...............karibu sana kwetu lindi, hotel ipo nzuri sana inaitwa lindi oceanic hotel, unakula upepo wa bahari, ila bei yake ni ndefu kidogo kwa wale wenye allowance za serikal.
Zip nyingine nzuri tu kama Adela, Kadogoo, Vision hotel n.k. Karibu sana Lindi ila kumbuka vitu cheap huku ni chumvi na mademu. take care usije ukajione handsome kwani huku ni fully kujiachia na wamwela na wamakonde.