Dunia hii kwani ni yako!!!!!!!!!

mashikolomageni

JF-Expert Member
Jan 5, 2010
1,570
187
Hivi dunia hii ni yako au umekodi? Asubuhi umeamka hukusali, mchana umepita hukumshukuru MUNGU na usi ku huu unataka kulala bila kuomba, hebu amka usali ndipo ulale.
 
Hivi dunia hii ni yako au umekodi? Asubuhi umeamka hukusali, mchana umepita hukumshukuru MUNGU na usi ku huu unataka kulala bila kuomba, hebu amka usali ndipo ulale.

Kitu ukiwa umekodi si inamaana umekilipia sasa hayo mengine ya nini si nimetoa hela yangu
Hebu anza vizuri.
 
Hivi dunia hii ni yako au umekodi? Asubuhi umeamka hukusali, mchana umepita hukumshukuru MUNGU na usi ku huu unataka kulala bila kuomba, hebu amka usali ndipo ulale.
<br />
<br />
Ee Mwenyezi Mungu nakuomba unilinde na uniepushe na kila lililo baya usiku huu, na siku zote katika jina la Yesu
 
Back
Top Bottom