JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ila Q net mnanifanya naishi kama digi digi kwenye mji wa watu 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥹😭😭. Ndugu zangu mwenye kazi yoyote mwanza naomba Nina hali ngumu sana.
6 Reactions
21 Replies
328 Views
Wanaume sai wanatongoza wanaume bila kujua.yan mwanaume anaweka profile ya kike alaf mwanaume unadata nae. Kwanza facebook na JF...
4 Reactions
58 Replies
542 Views
Siku mgeni akija home kuna ile siku mzazi akijipata mfukoni na pesa ya kinywaji kimoja tu cha mgeni, na kwasababu ana tamani sana kumpokea vizuri mgeni wake, na kumpa chochote kitu, basi soda...
5 Reactions
4 Replies
107 Views
Kila member wa JF ambaye amekaa hapa muda mrefu naamini kuna member mmoja au zaidi yuko kwenye ignore list yake... mimi huwa na-ignore mtu kwa sababu kujifanya ananijua sana...yaani mtu uliwahi ku...
5 Reactions
31 Replies
294 Views
Inaitwa Brutal beer! Jina moja la kibabe sana! Yaani BIA KATILI Kama hujawahi kuiona kwa sura unaweza kuogopa sana.. Lakini once unapoiona unaanza kupata mashaka .Chupa yake ni ndogo halafu kimodo...
23 Reactions
111 Replies
2K Views
Hii thread ni ya kuchana singer anaanza mwenzako unakuja kuendeleza kwa reply NAANZA Ety nilikua safari naenda zanzibali kufika kwenye meli nikaiona pisi kali kaifuta kwenda kujalibu zari dada...
1 Reactions
5 Replies
137 Views
Wangapi walitupenda wakaondoka hawaja rudi, we live once tuki ondoka haturudi. Kupishana mawazo jambo la kawaida tu, usi catch feeling sana akati wote wapitaji tu. Tabasamu waki kufurahisha...
10 Reactions
32 Replies
254 Views
Dunia ina mwisho kutembea je utumie usafiri gani ufike mwisho wa dunia ndio je kukoje?
0 Reactions
17 Replies
168 Views
Mna pungukiwa nini kufunga profile zenu , au nini kinaongezeka ? Mbona sisi hatufungi na hakuna baya ? Na ni kwamba mna ambizana ama? Maana wamebaki wachache sana karibu na hamna wote mmefunga...
10 Reactions
50 Replies
543 Views
SASA MWALIMU,, WA MATHE MSHAHARA UNAPELEKAGA WAPI MBONA KINYONGE!🤐
8 Reactions
28 Replies
498 Views
Hapa SIPO KISIASA, siasa sizielewi kabisa ni mwiba kwetu walala hoi, tuna piga kelele sote, ila ukifika muda wa kula kila mtu kwao, hapo ndo mbivu na mbichi huonekana. Mnatuacha tukipiga miayo...
8 Reactions
94 Replies
896 Views
Habari wanaJF, Ninaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi". Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako. Mfano: Ualimu Tanzania...
160 Reactions
82K Replies
4M Views
She makes the forum to be on good mood.Her love stories are perfect and amazing.I am always bored when his not around.I like thread she normally posting on the forum.
8 Reactions
66 Replies
498 Views
Karibuni Bia wakuu it's Sunday,
3 Reactions
43 Replies
494 Views
Wakati mwingine najiuliza, mapenzi ya zamani yalikuwa na ladha tofauti au sisi ndiyo tumeharibu maana yake? Angalia Suleiman na wimbo wake Busu zake zinibusu...(Wimbo Ulio Bora 1:2) Nimekupata...
11 Reactions
86 Replies
579 Views
Kichwa kinajieleza mimi napenda sana hadithi sasa kila nikisachi naona!!!! matokeo yanakuja jf"" nimesoma hadithi nyingi sana za UMUGHAKA @ Abdallah king Analyse n.k juzi juzi ndo nika aamua...
4 Reactions
78 Replies
703 Views
Niko tayari kujifunza.
13 Reactions
149 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…