Kuwen makini!

Kuwen makini!

Hongera kwa kununua simu na kuweza kuingia kwenye mitandao ya kijamii,
Hiyo issue wala sio mpya,ipo miaka mingi tu huko mitandaoni,

Nje ya topic,

Tafuta Mwalimu wa Kiswahili akufundishe somo la Muandiko coz uandishi wako umekaa kama ile miandiko ya ile Mishangazi ya tik-tok
Seran kakukataa
 
Nyuzi zako zikikosa wateja unatafuta kick
Kwa nguvu! Umehangaika kule umekosa majibu unakuja kuanzishisha mada za kikuda! Wafate pm wakuanzishie na wewe kama unahisi kuna kitu wanapata! Wewe kuna mtu anakujua una jinsia ipi au shobo za kimaku? Njoo nikurefi kama unahisi nna 🍆 nyoko wewe!
 
Ni kweli, mitandao ya kijamii imekuwa na changamoto kubwa ya watu kujitambulisha kwa taarifa zisizo sahihi. Ni muhimu kuwa makini kabla ya kujenga urafiki au mahusiano mtandaoni, kwani si kila wasifu unaonekana kuwa wa kweli huwa ni wa kweli. Tahadhari na uhakiki wa taarifa ni muhimu ili kuepuka udanganyifu.
 
Nyuzi zako zikikosa wateja unatafuta kick
Kwa nguvu! Umehangaika kule umekosa majibu unakuja kuanzishisha mada za kikuda! Wafate pm wakuanzishie na wewe kama unahisi kuna kitu wanapata! Wewe kuna mtu anakujua una jinsia ipi au shobo za kimaku? Njoo nikurefi kama unahisi nna 🍆 nyoko wewe!
mbona seran umekuwa mkali sana
anything personal between you two ?
 
Nyuzi zako zikikosa wateja unatafuta kick
Kwa nguvu! Umehangaika kule umekosa majibu unakuja kuanzishisha mada za kikuda! Wafate pm wakuanzishie na wewe kama unahisi kuna kitu wanapata! Wewe kuna mtu anakujua una jinsia ipi au shobo za kimaku? Njoo nikurefi kama unahisi nna
 
Nyuzi zako zikikosa wateja unatafuta kick
Kwa nguvu! Umehangaika kule umekosa majibu unakuja kuanzishisha mada za kikuda! Wafate pm wakuanzishie na wewe kama unahisi kuna kitu wanapata! Wewe kuna mtu anakujua una jinsia ipi au shobo za kimaku? Njoo nikurefi kama unahisi nna
 
Hata sisi wanaume hatujielewi sio siri. Kuna siku nilimsaidia wife kufungua acc ya fb jamaa akaiangia inbox nikiwa na simu ikabidi nimpange wife tena mda huo wife kazi anafanya tra kwene profile. Wakapeana namba haki wanatongozana nikiwepo mbavu sina. Jamaa kumbe ni mkenya na vihela vyake akadata kwa mke wangu, wooi ndugu yangu jamaa kila mda beb umekula anaambiwa no, muamala wa 50k lunch, akitumiwa photo wasp 100k ni ya kufikia na bila wasi wasi wife akamwambia akipata nafasi au akipata off hata ya 2weeks ataenda kumpa mbususu. Jamani jamani ikabidi tufoji barua ya off coz kuna mdada alikuwa anafanya tra wa ukweli akaichapisha hadi jina ni la wife na mihuri kama yote, huo ndo utapeli wangu wakwanza na wa mwisho tangu nizaliwe coz jamaa alimtumia wife tshs2.5m from kenya ati ni nauli na matumizi hadi afike huko tena anamsisitiza ikipungua atamuongezea nyingne ikabidi jamaa aongeze 500k ati sasa wife atumie ndege. Hadi wa leo wife anabaki kucheka tu acc ilifutwa namba ni kubadilisha na block kila pahali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom