JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nigeria huwa wana content za comedy za kitoto sana, hazina ladha, English yao mbaya sana. Karibia content yao yote comedy siku zote ni kama ya walinzi wa getini wa bongo movies.
3 Reactions
20 Replies
983 Views
Hii siku kuu ya wanawake hua ina mbwembwe nyingi hadi kuwafanya kama miungu flani hali ya kua mioyoni mwao wanajua ushetani waliouficha. Mungu tukubalie saumu zetu 🤲🏼 .
1 Reactions
4 Replies
411 Views
SLOW DOWN 1. If You Are Looking For Wealth, Somebody Is Looking For Health. 2. If You Are Looking For Health, Somebody Just Died. 3. If You are Looking For Power, Somebody Has Acquired And...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Mods: Kuna Threads Nyingi sana zime/zinaaanzishwa juu ya Babu Loliondo, Hii ikiwa mojawapo. Ningeomba kama kungekua na uwezekano wa kuziunganisha zote. Or just One thread with sub topics ie...
1 Reactions
393 Replies
33K Views
Wakuu Poleni Na Mihangaiko ya Ujenzi Wa Taifa", Naamini Mitaa Na Maisha Havihitaji Hamasa,Naamini Vinahitaji Uzoefu", Kaka/Dada Zetu Mlioweza Kupiga Hatua kimaisha mje Mshare Nasi Experience...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Asubuhi mmeamkaje. Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf. Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi...
11 Reactions
165 Replies
5K Views
Leo mambo mengi sana humu mara kafara, mara watoto kupigwa, karibuni tujipumzishe jamvini. Ikiwa umenuniwa na bebi wako au umefanya msala au hujisikii tu kuliomba tendo directly ila hamu...
4 Reactions
134 Replies
4K Views
Tuanze na faida -Uhuru wa kujiamulia mambo yako mwenyewe pasipo ulazima wa kushauriana au kumshirikisha yeyote. - Hauwajibiki kwa yeyote. Hakuna wa kukuuliza, mfano-saivi uko wapi (hili swali...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna masomo yana zeesha kuliko wanywa gongo na wabeba mizigo. Kijana alikwenda kusomea engineer kwa kipindi cha mda wa miaka 5 urusi.
4 Reactions
12 Replies
696 Views
Swali kuu ni je, Hamisa angekubali kuolewa kama Azizi angekuwa bado yupo hivi?
2 Reactions
4 Replies
594 Views
Kuna tofauti gani kati ya sala na maombi pia ni wakati gani utatumia hichi utaacha hichi:)
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Vip watafutaji, wapambanaji na wawajibikaji? Kwanza niwasilimu na kuwapongeza wote mnaopiga kazi bila kuchoka. Hongeren sana. Sasa ni kawaida kwa mpambanaji kukutana na changamoto kibao za...
2 Reactions
0 Replies
578 Views
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada kuu. Mimi hapa nimezaliwa mjini Daslamu miaka mingi nyuma kabla ya mwaka 2000, kwa mazingira niliyokulia na watu wengi tulioishi nao ni Wazarumo. Lakini cha...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Vitu 10 vya kuzingatia ukitaka kuanzisha ghetto lako SIMPLE GHETTO KWA MARA YA KWANZA wigos[emoji16] 1.Akikisha una kazi ambayo itakupa hela ya kodi. 2.Panga chumba cha bei ndogo lipa kodi ya...
9 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini. Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini...
19 Reactions
111 Replies
4K Views
Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari. Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Sifa za mwanaJF 1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi. 2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua...
19 Reactions
42 Replies
1K Views
Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara? Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine? Binafsi...
13 Reactions
77 Replies
2K Views
Back
Top Bottom