ndio maana yake mkuu tukiwa wengi moto utapungua nguvu.Nalog offdah kwahiyo unatafuta kampani ya motoni?
kwani huyu mchungaji si mwanamke wa kike? Nalog offWee Washawasha mbona unatuvunja mbavu wenzio?? Atende dhambi ili muwe wengi motoni??? Mi nadhani hapa si suala la mama mchungaji au not, si busara kulamba kiburudisho cha mwanaume mwenzio. A woman for Man; Man for Women, upo???
ndio maana yake mkuu tukiwa wengi moto utapungua nguvu.Nalog off
ila ujue ye anataka na mi nimehamasika,ila kuna karoho kananikatazaWee Washawasha mbona unatuvunja mbavu wenzio?? Atende dhambi ili muwe wengi motoni??? Mi nadhani hapa si suala la mama mchungaji au not, si busara kulamba kiburudisho cha mwanaume mwenzio. A woman for Man; Man for Women, upo???
mchungaji wa kanisa
kemea kwa jina la yesu!ila ujue ye anataka na mi nimehamasika,ila kuna karoho kananikataza
sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi