JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, achaneni na mambo ya siasa na uchumi, njoeni hapa pande za ChitChat tupige story za ukweli. Leo nataka tuongee kuhusu hawa viumbe wa ajabu wanaoitwa "Vibenten" na "Mamarioo." Nitaongea...
16 Reactions
75 Replies
1K Views
Neno "Mshangazi" (au wingi wake "Mishangazi") katika lugha ya mitaani limebeba maana mpya na ya kipekee. Tofauti na maana rasmi ya dada wa baba, neno hili sasa linamaanisha wanawake waliokomaa...
20 Reactions
322 Replies
3K Views
Somo la Leo: HUSUDA Husuda huanza kumla mwenye nayo moyoni. Huleta msongo wa mawazo na sonona. Mhusuda hukonda kwa mafanikio ya wengine.
8 Reactions
58 Replies
455 Views
Wana Arsenal walikuwa wameturingia sana kipind cha kwanza. Ila sasa wanameza tu mate maana kikombe kimewatoka. polen sana Arsenal ss PSG...
1 Reactions
6 Replies
84 Views
Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia. Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa...
23 Reactions
472 Replies
20K Views
Anahitajika Single Mama Madam wa chekechea awe na mtoto wake umri mwaka 1 au 2 au 3 Atakabidhiwa kusimamia shule na kupewa sehemu ya kukaa yeye na Mtoto wake Atalipwa salary kwa makubaliano na...
7 Reactions
27 Replies
384 Views
Mko poa wakuu🥰🥰
3 Reactions
22 Replies
284 Views
Achana na mkeo 2. Nenda ulaya urudi 3. Soma sana 4. Usisome kabisa 5. Jua kuandika 6. Uwe mwongeaji 7. Ujue hotuba za nyerere 8. Hamia mkoa nilioko kwa sasa 9. Usijue soko liko umbali gani 10...
2 Reactions
22 Replies
242 Views
Mmesikia wakuu.
6 Reactions
102 Replies
2K Views
Haiwezekani ukawa mwanaume usiwe shabiki wa mpira. Hawa members lazima wawe mashabiki. Tena kwa lazima kwaanzia mechi ya leo usiku Arsenal vs PSG. Hata siku moja hawajawahi kucomment ama kuposti...
2 Reactions
6 Replies
111 Views
vipi mdau ulichukua hatua gani kurudisha gharama zako?
3 Reactions
16 Replies
211 Views
Mwamba bado ana Fikra za Kuwaletea Jamii maendeleo ya £45,000,000,000,000 wakati Sumu ya Panya ni 100.
1 Reactions
17 Replies
196 Views
Kufanya ngono salama na yenye upendo huongeza maisha ya binadamu badala ya kuyafupisha, kwani tendo hili huboresha afya ya mwili na roho kwa wakati mmoja. Kisayansi, watu wanaoshiriki tendo la...
17 Reactions
74 Replies
799 Views
Wikiendi hii natamani nikatembelee kijiji chochote chenye mandhari mazuri ya kiujamaa. Lengo ni kupumzisha akili na mwili kwa kuona vitu vya asili asili. Kama kwenye hicho kijiji kutakuwa na...
4 Reactions
20 Replies
226 Views
Kuna huyu member mwenzetu Erythrocyte toka JF imefunguliwa sijamuona kabisa akikoment popote na si kawaida yake. Si vibaya kulizana maana shetani ameshika hatam
6 Reactions
22 Replies
715 Views
Niliroga mchana nikaroga usiku, niliroga kushoto nikaroga kulia, niliroga mashariki nikaroga magharibi, niliroga kaskazini nikaroga kusini. Niliroga chini nikaroga juu, niliroga mbele nikaroga...
26 Reactions
99 Replies
1K Views
Wakuu wasalaam, Bwana mimi huwa sipendi kubishana kabisa na mabinti na hata akinikosea huwa siwezi kumfanya chochote namuangalia na kumwacha tu. Kama ni muelewa huwa namkanya aache kitu fulani...
22 Reactions
157 Replies
12K Views
Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Who gonna having battle like this one😂😂...
0 Reactions
18 Replies
101 Views
Back
Top Bottom