Assalaam,
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema.
Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye.
Oooh ushangazi...
Fuatana nami kwa makini kwenye hii mada hii..!
Katika ndoto, udongo unawakilisha misingi ya maisha yako, uwezo wako wa kukua kiroho, na utayari wa kupokea mambo mapya..
Kwa kuwa udongo ndio...
Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, cha kushangaza unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti
UMASIKINI NI MENTALITY NA SIO POSESSION
Pongezi kwa kila mwenye kupata riziki halali. Ukiweza kutega mifereji ya kupata shilingi kadhaa, kwa jasho lako (au hata kwa kusaidiwa)...wewe sio MTU wa mchezo mchezo..heeeko👍🏾!
Ilikuwa mida fulani hivi ya saa mbili usiku ile naingia nyumbani kabla sijafika sebuleni nikasikia ndugu zangu wanajadili "Tumemletea tiba leoleo lazima aache hizo pombe zake!"
hapo walikuwa...
Tuhuma bila ithibati!
Utani wenye uhalisia.!
Wivu wa kijinga!
Shuku kisa chitchat!
Maskhara yanapogeuka ugomvi.
Umbea kwa usiyemjua vema..!
Ma snitch!
Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
A lot of us grew up in homes where the rules were clear, teachers were respected, dinner was not a restaurant menu and kids were expected to figure some things out without a commitee meeting.
But...
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze...
Wakuu,
Nimeshindwa kupata usingizi mpaka muda huu kutokana na ndoto inayonijia kila wakati kuhusu uwepo wangu katika kina cha Mahaba na mtoto wa Kisukuma Valentine.
Kinachonishangaza ndoto hii...
Hawaangalii ukubwa na unene, wanaangalia uzito na kina...!. Usione reli imekonda, ndiyo inayobeba mabehewa makubwa."
Kwani kilo ya dhahabu na kilo ya sufi ipi Ina thamani kubwa!?
Wivu mbaya na chuki ya kupitiliza ni sumu kali ya kiroho inayomfanya mtu aanze kufikiria au kutenda mambo ya kishirikina na kijicho.
Huu usemi usemao "Wivu ni darasa la mwisho kabla ya kufuzu...
Kuna nyakati nyingi ambazo akili zetu huwaza mambo ya kijinga au yasiyo na mantiki, na hata kutufanya tuyandike au tuyazungumze
Hali hii ni ya kawaida kibiolojia na kisaikolojia, lakini pia...
Wana jukwaa nimekuwa kimya mda wa siku kadhaa ni baada ya kuwa nilikuwa nafanyiwa upasuaji ili kutoa sumu ilokuwa mwilini mwangu.
Hii ni mara ya pili nafanyiwa upasuaji na namshukuru mungu zote...
Kuna vikaunti vingi vya kike ila mwandiko kabisa wa kiume na muda mwingine wanajisahau kabisa kukaa kwenye cover up yao.
I think they are gays, haiwezekani kidume utengeneza akaunti ya kike na...
Utafanyaje utapogundua mwenza wako ni
1. Msagaji
2. Wali nazi?
Utafunika kombe mwanaharamu apite ama utachukua maamuzi magumu?
Utathubutu kuwaambia watu uhalisia ama utakufa na siri yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.