JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Masanja Mawenge 2.N'kwabi N'gwanakilala 3.Rupondije Inuka 4.Mabula Nkwimba 5.Nyeunge Maneno 6.Budodi. Endeleeeaaa!!
0 Reactions
255 Replies
78K Views
Niliwahi kuguswa na malaika begani kunishtua hatari
8 Reactions
65 Replies
591 Views
Assalaam, Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema. Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye. Oooh ushangazi...
15 Reactions
151 Replies
6K Views
Fuatana nami kwa makini kwenye hii mada hii..! Katika ndoto, udongo unawakilisha misingi ya maisha yako, uwezo wako wa kukua kiroho, na utayari wa kupokea mambo mapya.. Kwa kuwa udongo ndio...
5 Reactions
27 Replies
266 Views
Ni sababu zipi, zinazo kukwamisha wewe kutokuwekeza biashara, kiwanda, au uchimbaji wa madini Ulaya?
8 Reactions
91 Replies
585 Views
Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, cha kushangaza unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti UMASIKINI NI MENTALITY NA SIO POSESSION
15 Reactions
124 Replies
1K Views
Pongezi kwa kila mwenye kupata riziki halali. Ukiweza kutega mifereji ya kupata shilingi kadhaa, kwa jasho lako (au hata kwa kusaidiwa)...wewe sio MTU wa mchezo mchezo..heeeko👍🏾!
4 Reactions
7 Replies
149 Views
Ilikuwa mida fulani hivi ya saa mbili usiku ile naingia nyumbani kabla sijafika sebuleni nikasikia ndugu zangu wanajadili "Tumemletea tiba leoleo lazima aache hizo pombe zake!" hapo walikuwa...
34 Reactions
64 Replies
3K Views
Tuhuma bila ithibati! Utani wenye uhalisia.! Wivu wa kijinga! Shuku kisa chitchat! Maskhara yanapogeuka ugomvi. Umbea kwa usiyemjua vema..! Ma snitch! Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
23 Reactions
421 Replies
5K Views
A lot of us grew up in homes where the rules were clear, teachers were respected, dinner was not a restaurant menu and kids were expected to figure some things out without a commitee meeting. But...
1 Reactions
7 Replies
110 Views
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze...
23 Reactions
99 Replies
2K Views
Wakuu, Nimeshindwa kupata usingizi mpaka muda huu kutokana na ndoto inayonijia kila wakati kuhusu uwepo wangu katika kina cha Mahaba na mtoto wa Kisukuma Valentine. Kinachonishangaza ndoto hii...
2 Reactions
66 Replies
5K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa Legend Mshana Jr Tumtakie heri kwenye siku yake Leo. Older than yesterday, younger than tomorrow. Happy birthday mkuu.
13 Reactions
69 Replies
3K Views
Hawaangalii ukubwa na unene, wanaangalia uzito na kina...!. Usione reli imekonda, ndiyo inayobeba mabehewa makubwa." Kwani kilo ya dhahabu na kilo ya sufi ipi Ina thamani kubwa!?
9 Reactions
56 Replies
734 Views
Utakapofanya kosa la kuvuruga watu au utaratibu mwisho wake maji utaita mma
3 Reactions
7 Replies
146 Views
Wivu mbaya na chuki ya kupitiliza ni sumu kali ya kiroho inayomfanya mtu aanze kufikiria au kutenda mambo ya kishirikina na kijicho. Huu usemi usemao "Wivu ni darasa la mwisho kabla ya kufuzu...
14 Reactions
42 Replies
536 Views
Kuna nyakati nyingi ambazo akili zetu huwaza mambo ya kijinga au yasiyo na mantiki, na hata kutufanya tuyandike au tuyazungumze Hali hii ni ya kawaida kibiolojia na kisaikolojia, lakini pia...
10 Reactions
36 Replies
381 Views
Wana jukwaa nimekuwa kimya mda wa siku kadhaa ni baada ya kuwa nilikuwa nafanyiwa upasuaji ili kutoa sumu ilokuwa mwilini mwangu. Hii ni mara ya pili nafanyiwa upasuaji na namshukuru mungu zote...
10 Reactions
33 Replies
386 Views
Kuna vikaunti vingi vya kike ila mwandiko kabisa wa kiume na muda mwingine wanajisahau kabisa kukaa kwenye cover up yao. I think they are gays, haiwezekani kidume utengeneza akaunti ya kike na...
14 Reactions
33 Replies
412 Views
Utafanyaje utapogundua mwenza wako ni 1. Msagaji 2. Wali nazi? Utafunika kombe mwanaharamu apite ama utachukua maamuzi magumu? Utathubutu kuwaambia watu uhalisia ama utakufa na siri yako?
15 Reactions
166 Replies
2K Views
Back
Top Bottom