Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
habarini humu ndani naomba msaada jinsi ya kutengeneza fondant sababu nimeangalia youtube naona wanaweka icing suger na marshmallow sina hakika kama hii marshmallow inapatikana hapa kwetu
0 Reactions
3 Replies
11K Views
  • Redirect
Habari zenu wapendwa mwenye kujua kupika kashata za ufuta naomba anielekeze pls
0 Reactions
Replies
Views
Copy to gorgeousmimi farkhina
5 Reactions
13 Replies
4K Views
Sio mwili au chumba na vinavyo stahili mpangilio,hata salad nayo inahitaji mpangilio Ili itie hamu ya kula na kuongeza virutubisho mwilini
8 Reactions
9 Replies
4K Views
Unapokaribishwa chakula cha heshima cha wenyeji wako ni budi na wewe ule maana usiwaudhi wenyeji, je ungepewa wewe hiki chakula hapa ungefanyaje?:
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MAHITAJI, mchele 1/2kg sweetcorn mtindi chumvi na mafuta. Upishi, chemsha maji ya kupikia wali. .. kisha injika sufuria na utie mafuta yakipata moto weka mchele na ukaange mchele ukianza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Plz smebody anieleweshe kuhusu aina ya Chakula hich kinaitwa Dessert
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Mahitaji 1.Makongoro (miguu ya ng'ombe) kiasi 2.Limao 1 kubwa 3.Kitunguu swaum 4.Tangawizi 5.Chumvi 6.Pilipili Matayarisho Safisha makongoro kisha yatie kwenye pressure cooker. Kisha tia...
3 Reactions
9 Replies
15K Views
Leo tunapika wali wa nazi, viazi vya kukaanga, mchemsho wa mboga za majani na samaki za kukaanga. Mahitaji: Mchele Tui la nazi Chumvi Viazi Kitunguu maji Zucchin karoti French beans Samaki...
1 Reactions
5 Replies
15K Views
Wana JF, napenda leo tuzungumzie aina za Mayai na upishi wake. Nimeamua kuzungumzia mayai kutokana na wengi wetu kutojua aina hizi za mayai na kujikuta pindi tukitoka na kwenda mojawapo ya baadhi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
1.Samaki wa kipande 1/2 kg 2.Mchele 1/2 kg 3.Vitunguu maji 2 4.Carrot 1 kubwa ikwaruze 5.Mdalasini 1 teaspoon 6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon 7.Nyanya ya kopo Kitunguu saumu na...
14 Reactions
93 Replies
23K Views
Habarini marafiki Ifuaatayo ndo menyu ya kuandaa Juice ya Karoti na Machungwa Mahitaji: - Machungwa 20 au zaidi kutegemeana na jinsi upendavyo. - Karoti 10 -17 hivi inategemeana anavyopenda -...
6 Reactions
25 Replies
28K Views
Wakuu, Kwa hapa Dar es Salaam ni hoteli ipi au mgahawa upi naweza kupata vyakula vya kienyeji vya asili ya mikoa ya kanda ya kati, magharibi na ziwa?. Jasiri haachi asili.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando, msaada jamani..
0 Reactions
24 Replies
41K Views
Wengi wetu tumezoea nyanya chungu za nazi,biringanya pia likipikwa na nazi huwa na ladha nzuri pia. Mahitaji: Biringanya kata dogo dogo wek katika maji ya baridi (hii husaidia biringani...
4 Reactions
23 Replies
11K Views
Waungwana mimi Nina kipaji cha utungaji wa vitabu vya mapishi.Nimakabiliwa na changamoto ya kifedha na hatua muhimu zakufanya kitabu kiingie sokoni na kuuzwa.Kama Una msaada wa mawazo au kifedha...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mahitaji: Mkate Carrot 1 Mayonize Jinsi ya kuandaa: . Chukua carrot ikwangue kwenye greater . Weka mayonnaise kwenye carrot uliyokwangua kisha ichanganye vizuri . Paka mchanganyiko wa carrot...
14 Reactions
93 Replies
11K Views
Mahitaji Nyama ya ng'ombe ya mafupa bila ya kukatwa (pande kubwa unalotaka) Viazi 4 vya mviringo vilivyomenywa na kukatwa Vijiko 2 vya chakula vya thomu na tangawizi iliyosagwa Kijiko 1 cha...
3 Reactions
12 Replies
18K Views
Mahitaji: Nyanya Vitunguu maji Chumvi Vinegar Ndimu Pilipili mbuzi au kichaa Parachichi lililoiva lakin liwe gumu Embe dodo/ lile kubwa lililoiva Hohoho Karoti Kabichi Tango Safisha viungo...
5 Reactions
29 Replies
26K Views
Mahitaji Utumbo wa ng'ombe kg 1 Ndizi mbichi chana 2 ukubwa kiasi (ndizi 16-20) Nyanya 3 kubwa Kitunguu 1 kikubwa Ndimu 2 Pilipili manga 1/2 kijiko cha chai Tangawizi iliosagwa na saumu...
13 Reactions
58 Replies
31K Views
Back
Top Bottom