1.Samaki wa kipande 1/2 kg
2.Mchele 1/2 kg
3.Vitunguu maji 2
4.Carrot 1 kubwa ikwaruze
5.Mdalasini 1 teaspoon
6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon
7.Nyanya ya kopo
Kitunguu saumu na tangawizi 1 teaspoon kila Kimoja
Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
1.Kaanga kitunguu maji hadi kiwe rangi ya kahawia
2.Weka kitunguu saumu na tangawizi
3.Weka tuna koroga vizuri
3.Mimina nyanya ya kopo pamoja na bizari ya pilau na mdalasini bila ya kusahau chumvi...
4.Ukimaliza weka pembeni
5.Katika sufuria nyengine chemsha maji weka na chumvi kidogo
6.Tia mchele na uwive half way (uwe na kiini)..
7.Chukua tray minima wali kidogo...
7.Mimina carrot
8.Mimina wali tena kdg
9.Mimina mchanganyiko wa Samaki
10.Mimina wali uliobakia
11.Funika weka kwenye oven 350 degree
12Angalia ikiwa imewiva pakua weka mezani
2.Mchele 1/2 kg
3.Vitunguu maji 2
4.Carrot 1 kubwa ikwaruze
5.Mdalasini 1 teaspoon
6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon
7.Nyanya ya kopo
Kitunguu saumu na tangawizi 1 teaspoon kila Kimoja
Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
1.Kaanga kitunguu maji hadi kiwe rangi ya kahawia
2.Weka kitunguu saumu na tangawizi
3.Weka tuna koroga vizuri
3.Mimina nyanya ya kopo pamoja na bizari ya pilau na mdalasini bila ya kusahau chumvi...
4.Ukimaliza weka pembeni
5.Katika sufuria nyengine chemsha maji weka na chumvi kidogo
6.Tia mchele na uwive half way (uwe na kiini)..
7.Chukua tray minima wali kidogo...
7.Mimina carrot
8.Mimina wali tena kdg
9.Mimina mchanganyiko wa Samaki
10.Mimina wali uliobakia
11.Funika weka kwenye oven 350 degree
12Angalia ikiwa imewiva pakua weka mezani