Wengi wetu tumezoea nyanya chungu za nazi,biringanya pia likipikwa na nazi huwa na ladha nzuri pia.
Mahitaji:
Biringanya kata dogo dogo wek katika maji ya baridi (hii husaidia biringani kutobadilika rangi sana na kua jeusi)
1.Nyanya
2.Kitunguu saumu na maji kiasi vitwange na chumvi.
3.Tui la nazi zito/bubu.
4.Tui jepesi.
Namna ya kutaarisha:
1.Weka biringanya lako katika sufuria
2.Katika nyanya nyembamba na weka saumu na kitunguu maji kilichotwangwa.
3.Mimina tui jepesi lifikie nusu ya wingi wa mabiringanya (ili lisivurugike) chemsha hadi kukaribia kuwiva.
4.Weka tui bubu na subiri kidogo then epua.
5.Weka mezani tayari kwa kuliwa.
6.Zuri kulia na wali,chapati au upendavyo.
Mahitaji:
Biringanya kata dogo dogo wek katika maji ya baridi (hii husaidia biringani kutobadilika rangi sana na kua jeusi)
1.Nyanya
2.Kitunguu saumu na maji kiasi vitwange na chumvi.
3.Tui la nazi zito/bubu.
4.Tui jepesi.
Namna ya kutaarisha:
1.Weka biringanya lako katika sufuria
2.Katika nyanya nyembamba na weka saumu na kitunguu maji kilichotwangwa.
3.Mimina tui jepesi lifikie nusu ya wingi wa mabiringanya (ili lisivurugike) chemsha hadi kukaribia kuwiva.
4.Weka tui bubu na subiri kidogo then epua.
5.Weka mezani tayari kwa kuliwa.
6.Zuri kulia na wali,chapati au upendavyo.