JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kumekuwepo na machapisho kadhaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, yakimuonesha aliyekuwa mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine, akidaiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump. Hata hivyo, ukweli ni kwamba picha hizo zinazosambaa mitandaoni zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde, na si halisi. Licha ya kwamba mgombea huyo wa urais alikimbilia Marekani baada ya kuhofia usalama wa maisha yake kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu nchini Uganda, hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa amekutana na Donald Trump kwa mazungumzo rasmi. Ufuatiliaji uliofanywa kupitia tovuti rasmi za Ikulu ya Marekani haujaonesha taarifa yoyote kuhusu mkutano kati ya viongozi hao wawili. taarifa hizo za kukutana...
There has been a post circulating on Facebook with the caption that Yariv Levin has taken over from Benjamin Netanyahu, who is the Prime Minister of Israel. The post was published with the following caption: "In a major political shift, Yariv Levin has been appointed as the interim Prime Minister of Israel, taking over the leadership role from Benjamin Netanyahu. This transition comes at a critical time for the nation as it navigates complex regional security challenges and internal legislative debates that could reshape the country's future." #Headlines360 #IsraelNews #YarivLevin #Netanyahu Through keyword searches on social media, there is no confirmation or official information suggesting that Yariv Levin has taken over from...
Kumekuwepo na picha kadhaa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, zikionyesha hali ya viwanja vya michezo vilivyotumika katika mashindano ya AFCON nchini Gabon mwaka 2017 vikiwa katika hali mbaya ya uharibifu na kutelekezwa. Katika baadhi ya picha zinazoonekana kwenye picha hizo, miti imeota ndani ya viwanja hivyo, jambo linaloashiria kuwa havitumiki kwa muda mrefu na havifanyiwi matengenezo ya mara kwa mara. je taarifa hizo zina usahihi kiasi gani ?
Katika jamii ya Kitanzania, baadhi ya mifugo kama vile mbuzi na ng’ombe hufariki wanapokula maganda ya mihogo mibichi. Hali hii huwastaajabisha wafugaji wengi, kwa kuwa mihogo hiyo huwa salama na hata tamu kwa matumizi ya binadamu, lakini inapoliwa na baadhi ya mifugo husababisha madhara makubwa, ikiwemo kifo. ufuatiliaji ambao umefanywa umebainisha kuwa Mihogo ina kemikali zinazoitwa cyanogenic glycosides (hasa linamarin na lotaustralin). Kemikali hizi zikivunjika ndani ya mwili au wakati mihogo inapokatwa/kupondwa, hutengeneza hydrogen cyanide (HCN) ambayo ni sumu kali ndani ya mwili wa mnyama Utafiti ambao umefanywa Tweyongyere,R. & Katongole (2002)umeeleza kuwa sehemu ya nje ya muhogo mara nyingi ina kiwango kikubwa cha cyanide...
Back
Top Bottom