Taarifa kutoka ukurasa wa Instagram wa Habari 24 zimechapisha habari yenye ujumbe kwamba John Mrema, ambaye ni kada wa chama cha CHAUMA, ameomba kurejea CHADEMA.
Katika chapisho hilo, ujumbe ufuatao umeonekana: “Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje pamoja na Mkurugenzi wa Uenezi wa CHADEMA, na baadaye kuhamia CHAUMA, John Mrema, anapanga kurejea CHADEMA.”
je uhalisia wa dai hilo upo vipi?