JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao ya facebookk wakiwa na ujumbe unao nukuu kuwa bunge la iran limetangaza kuongeza mishahara baada ya vita katika chapisho hilo ambalo lina nukuu inayosomeka "Baada ya Bunge kuidhinisha sheria mpya ya Malipo kada ya afya nchini Iran Serikali imetangaza Mishahara mipya kwa Wahudumu sekta ya afya kuanzia Madaktari, Manesi na wengine wote kada hiyo watapata ongezeko la mshahara kuanzia mwezi huu wa April sambamba na posho huku wale Waajiriwa wapya zaidi ya 500,000 pia wata faidika na ongezeko hili" je nu upi uhalisia wa chapisho hili?
Mdau katika jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi amehoji kama ni kweli chokaa inachangia ubora na ufanisi wa mbolea katika kilimo cha ndizi? "Nilikiwa kwenye Mkoa wa Kagera ambapo kuna mwenendo unaoongezeka wa wakulima wa ndizi kutumia chokaa katika mashamba yao. Wakulima hao wanadai kuwa matumizi ya chokaa husaidia migomba kustawi vizuri na kupunguza au kuzuia mashambulizi ya baadhi ya wadudu wanaosababisha kudhoofika au kuharibika kwa migomba." Ameeleza.
The viral post has been circulating on Facebook claiming that Kim is hoping to join the United States in the ongoing war. The post includes a quoation marked as "The nightmare scenario reportedly confirmed. Kim Jong Un allegedly announced North Korea officially joins the war alongside Iran against the United States. Two nuclear powers. Against America. The conflict just went global according to claims. " According to reports, Kim made official declaration. Not just support. Not just technology sharing. Full entry into war alongside Tehran. Pyongyang allegedly committing military forces against America. Days ago reports claimed Kim distancing from Iran. Now allegedly full war declaration. The situation shifting constantly. Intelligence...
Kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na chombo cha habari cha Azam tv tanzania kikiwa nukuu ya kuwa uking’atwa na nyoka huruhusiwi kufunga kamba juu ya kidonda, kuchanja wala kunyonya sumu kwa mdomo. Unachopaswa kufanya ni kutulia kwanza ili kupunguza msukumo wa damu. Dai hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Elimu na Uhamasishaji Uhifadhi wa Nyoka Tanzania (TASCEA), Aldo Charles, wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Morning trumpet Je ni upi uhalisia wa dai hilo?
A viral post has been circulating on social media, especially on Facebook, claiming that astronauts have successfully grown rice on the Moon. However, an investigation using keyword searches determined that the image was generated using artificial intelligence (AI) and is therefore not genuine. This claim comes at a time when the world is witnessing Four astronauts have begun their return journey to Earth on the Artemis II spacecraft after successfully reaching the Moon and witnessing unique events. It has been a historic day for the Artemis II astronauts, who are now returning to Earth after completing their journey to the moon. In addition, information from NASA Science indicates that the Moon’s environment is not suitable for...
Back
Top Bottom