Wakuu,
Hiki kipeperushi ndio kimeanza kusambaa, yaani jamaa akaona katika siku zoteeeee leo ndio aje kufanya press, kwenye kesi ya Lissu?
Kama ni kweli jamaa atakuwa na chuki iliyotukuka (kwa sauti ya GENTAMYCINE) na ameamua kweli kukibomoa chama.... ila ni kama vile vijana wa mama wapo kazini kufanya watu tusifatilie kesi ya Lissu!
Lakini nasema nini, hakuna kitu kitatrend leo zaidi ya kesi ya Lissu.... chawa nawasalimu 😂 😂 😂 JamiiCheck tunaomba uhakiki wa hii taarifa