JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

WanaJF Nimekutana na taarifa hii huko mtandaoni. Je, ina ukweli wowote? Hali ya kiafya ya Mheshimiwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeendelea kuzorota, hali iliyolazimu apelekwe nchini Ubelgiji kwa matibabu ya dharura. Kutokana na changamoto za afya zinazomkabili, madaktari wameshauri apokee matibabu maalum ili kurejesha afya yake haraka. Wananchi, wanachama wa CHADEMA, na wapenda demokrasia kwa ujumla wanaombwa kuendelea kumuombea, pamoja na kuchangia kwa hali na mali ili kufanikisha matibabu yake. Ushirikiano wa Watanzania utasaidia kuhakikisha Mheshimiwa Lissu anapata huduma stahiki na kurejea katika hali yake ya kawaida haraka iwezekanavyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zimeifanya Tanzania kuwa kinara barani Afrika katika uzalishaji na usambazaji wa umeme. Akizungumza na wanahabari katika Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) mkoani Pwani siku ya Jumapili Februari 16, 2025, Msigwa amesema kuwa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati uliofanyika Januari 27-28, 2025 jijini Dar es Salaam, ni uthibitisho wa mafanikio ya Tanzania katika sekta hiyo. Kwa mujibu wa Msigwa, hali ya upatikanaji wa umeme nchini imeimarika na kufikia 78.4%, huku serikali ikipanga kuhakikisha asilimia 100 ya Watanzania wanapata huduma hiyo...
Wakuu nimekutana na hii taarifa mtandaoni kwenye magroup ya facebook. Je, ni ya kweli? === 𝗠𝗔𝗥𝗜𝗔 𝗦𝗔𝗥𝗨𝗡𝗚𝗜 𝗔𝗧𝗢𝗔 𝗧𝗔𝗠𝗞𝗢 𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 Mwanaharakati Maria Sarungi ameweka wazi msimamo wake kuhusu CHADEMA, akieleza kuwa kwa hivi sasa hayupo tayari kukichangia chama hicho. Ameeleza kuwa sababu kuu ya uamuzi wake ni ukosefu wa mipango madhubuti ndani ya chama pamoja na mgawanyiko unaoendelea. Kauli yake imezua mjadala mkali miongoni mwa wafuasi wa chama hicho na wanaharakati wa siasa, huku baadhi wakikubaliana naye na wengine wakipinga mtazamo wake. Hili linakuja wakati ambao CHADEMA inaendelea kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo na harakati zake za kisiasa.
Baada ya Trump kutangaza kusitisha misaada nchini humo kisa madai ya ukiukwaji wa haki za Binadamu na Wazungu kunyanyaswa na kupokonywa ardhi wanazomiliki ambapo Ramaphosa amemtaka Trump aache kuingilia mambo ya Afrika Kusini kwakuwa hayamuhusu na kusema ardhi ya Afrika Kusini sio ya Trump. “Hii ishu ambayo Donald Trump anaiogopa sana, hii ardhi ni ya kwetu, sijui Donald Trump anahusika vipi na atafanya nini kuhusu ardhi ya Afrika Kusini kwasababu hajawahi kuwa hapa, aitunze America yake na tutaitunza Afrika Kusini yetu, Afrika Kusini ni ardhi yetu na inamilikiwa na Watu wote wanaoishi Afrika Kusini, Afrika Kusini haimilikiwi na Donald Trump” “Nikikutana na Trump nitamwambia, nitamwambia wewe Trump ni Mtu mbaya kwasababu...
MBOWE NA MWANAE WASUSA CHADEMA WAGOMA KUMPA VIFAA VYA MKUTANO LISSU. Mtoto wa Mbowe (James Mbowe) ambaye ana kesi ya Madai Mahakamani kwa kosa la kutowalipa Mishahara wafanyakazi wake zaidi ya miaka 3 leo ana muhujumu Lissu kwa kumnyima vifaaa vya Mziki na Jukwaa kwa ajili ya Mkutano wake wa mapokezi ya tarehe 15 Feb, 2025 Mkoani Singida. #NoReformNoElection
BREAKING NEWS: $5 Billion in cash and $700 Million in Gold found in Buhari's New York residence as FBI raids property; Trump orders clampdown on Nigerian politicians homes. Trump has ordered the money to be placed on hold as he doesn't trust the current president of Nigeria, who he said is worse than Buhari. 👑 Priincee Skaywer 👑 The Quantum Activater.
JamiiCheck tafadhali mtusaidie kupata uhalisia wa hii ===== 𝐌𝐀𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐀𝐑𝐔𝐍𝐆𝐈 : 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐁𝐀𝐘𝐀 𝐔𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐙𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐖𝐀 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi ametoa maoni makali kuhusu mustakabali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Kupitia mtandao wa X (zamani Twitter), ameeleza kuwa chama hicho kimekosa umoja na mipango thabiti, hali inayopelekea migogoro ya mara kwa mara na kukosekana kwa uongozi imara ndani ya chama. Kwa mujibu wa Sarungi, CHADEMA inakabiliwa na changamoto kubwa za ndani ambazo zinaweza kuathiri nafasi yao katika uchaguzi ujao. Aidha, ametaja kuwa mgawanyiko wa uongozi na kushindwa kuimarisha mshikamano wa wanachama wake ni dalili za kushindwa vibaya katika uchaguzi wa 2025.
Back
Top Bottom