Habari wakuu,
Kama kweli ni kauli ya Maria Sarungi simuuungi mkono
Naona Maria Sarungi katema cheche huku akidai Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche pmoja na Jonathan Lema kuwa uongozi wao wa Mabavu umeua CHADEMA
ilhali tangu CHADEMA ikumbwe na matatizo ya kisiasa ya kufungiwa kufanya shughuli za kisiasa na Mwenyekiti wao Tundu Lissu kukabiiwa na mashtaka mbalimbali ikiwemo uhaini, hawa watu wawili wamekuwa wakionekana kusimama imara na kutetea maslahi ya CHADEMA na kuendelea kukemea matukio ya ajabu yanayoendelea nchini