Halima James Mdee (@halimamdee)
“Gwajima hapaswi kuonekana mtakatifu. Kwenye uchaguzi wa Kawe 2020 alibariki uhuni, ameawatukana viongozi na waumini wa Kanisa Katoliki hadharani, akawavunjia heshima Waislamu pia. Huyu ni mtu wa kutafuta umaarufu, si mkweli. Apuuzwe.”