JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Jamani kichwa kinajieleza. Kwanza ni kweli mende anazalisha maziwa? Mende hawa hawa tunaowaona chooni? Sasa maziwa yenye yanakaa wapi na wanakamuaje? Halafu eti inasemekana maziwa ya mende yanavirutubisho kuliko ya ng'ombe, si makubwa haya! Mende walivyo wachafu na wanavyoogopesha leo mtu ukanywe sijui ule maziwa yake, yaani sitaki hata kupata picha kwakweli. Wakuu hili ni kweli?
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mtandao wa Facebook likimuonesha Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, akipiga magoti mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wakati wa ziara yake ya siku moja nchini Tanzania. Je ?ni upi uhalisia wa chapisho hilo la picha ambalo lina sambaa kwa kasi kwenye mitando ya kigiditali..
Katika baadhi ya nyakati, wakazi wa maeneo ya kanda ya Ziwa, hususan wilaya ya Ukerewe, wameripoti kushuhudia maji ya Ziwa Victoria yakibadilika rangi na kuonekana ya buluu kijani kibichi chenye mchanganyiko wa bluu Hali hii huwavutia na kuwashangaza wengi kutokana na kutokuwa ya kawaida. Kwa mujibu wa maelezo ya wakazi wa maeneo hayo, tukio hili hujitokeza zaidi katika mwezi wa sita (Juni), hasa kuanzia majira ya asubuhi (karibu saa moja) hadi mchana, na kisha huonekana tena kwa kiwango kikubwa zaidi nyakati za jioni. Uchunguzi uliofanywa kwa kutumia nyenzo mbalimbali umebaini kuwa mabadiliko hayo ya rangi husababishwa na kuongezeka kwa maua hatari ya mwani (Harmful Algal Blooms – HABs), hasa jamii ya cyanobacteria. Ukuaji huu...
A video clip circulating on different social media platforms including X and TikTok shows Hon. Robert Kyagulanyi aka Bobi wine together with his wife claiming to have returned to Uganda at Entebbe Airport. The video is however misleading as it does not stem from 2026, It was recorded way back in September 2017 when Bobiwine was arrested by security personnel upon landing at Entebbe airport
A claim has been circulating widely on social media, particularly on Instagram, alleging that following a comprehensive review of national productivity data, the Government of Tanzania has concluded that citizens who marry before the age of 30 contribute significantly less to the country’s GDP compared to those who delay marriage. The claim further states that this perceived link between early marriage and poor economic performance has been identified as a national concern, leading to an immediate decision to raise the legal age of marriage to 30. In addition, the same post advises citizens to use their twenties to build financial capital, acquire assets, and develop the emotional maturity necessary to sustain a household. It also...
A post has been circulating widely on social media claiming that the government of Burkina Faso has officially banned the importation of rice in order to boost local production. According to the post, rice is a staple food in the country, with most households consuming it several times a week. The government is said to believe that it is time to reduce dependence on foreign products and strengthen domestic agriculture. The post further claims that plans are underway to increase local rice production and make it more affordable for citizens. It also states that importers and sellers of foreign rice have been given a two-month deadline to clear their existing stock. What truth beyond viral post on social media ?
Kumekuwepo na picha inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na X ikimuonesha Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, akiwa amevalia kofia nyekundu ambayo inaonekana kuunganishwa moja kwa moja na bunduki. Hata hivyo, uchunguzi wa kidijitali umebaini kuwa picha hiyo imehaririwa kutoka kwenye picha halisi na kufanyiwa maboresho kwa kutumia teknolojia ya akili unde , jambo linaloifanya ionekane tofauti na uhalisia wake wa awali. Aidha, ufuatiliaji zaidi umeonesha kuwa picha hiyo inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii haijawahi kuchapishwa na vyombo vikubwa vya habari nchini Burkina Faso wala kutolewa kupitia vyanzo rasmi vya serikali, jambo linaloibua mashaka makubwa kuhusu uhalisia wake. Kutokana...
There has been a viral post circulating on social media claiming that heartbreaking scenes of total humiliation are unfolding right now on the Gaza border, as Iran-backed resistance forces trigger a mass surrender of Israeli troops, with soldiers openly crying and dropping their weapons in panic while their regime collapses around them. In that post, it is claimed that families in Sderot and Ashkelon are desperately fleeing burning neighborhoods, mothers hugging their children goodbye as homes are reduced to rubble, and hospitals are overwhelmed with the broken and defeated. What is the truth about the post that is spreading rapidly on social media?
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la machapisho mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii. Mojawapo ya machapisho hayo linadai kuwa Heche na Golugwa wamejihusisha na ubadhirifu wa fedha ndani ya Chadema. Chapisho hilo, ambalo limesambazwa katika vikundi na kurasa mbalimbali za Facebook, linadai kuwa viongozi hao wamejilimbikizia fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni 250. Je, upi ni uhalisia wa madai hayo yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii?
📍HECHE AITAKA SERIKALI KUHARAKISHA MCHAKATO WA MARIDHIANO NCHINI Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Heche, ameitaka serikali kuharakisha mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa hatua hiyo ndiyo njia sahihi ya kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Kibamba, Heche amesema kuwa maridhiano ni msingi muhimu wa kujenga taifa lenye umoja na maendeleo endelevu. Alieleza kuwa jamii haiwezi kusonga mbele ikiwa itaendelea kugubikwa na migawanyiko na misuguano ya kisiasa, hivyo ni wajibu wa serikali kuweka kipaumbele katika juhudi za kuleta maelewano miongoni mwa wananchi. “Maridhiano ni njia sahihi ya kudumisha...
Back
Top Bottom