Watu wengine wanaamini kwamba ukinywa soda nyeusi (cola), kuchemsha majani ya chai mengi kisha uyanywe au energy drink mara baada ya tendo la ndoa, mbegu za kiume hufa tumboni na hivyo mimba inazuilika. Nilishangaa zaidi kuwa kuna mtaalamu wa afya pia aliwahi kueleze kuhusu hii ishu. Sikumuamini na nashindwa kuelewa "how this works"
Lakini pia watu wamekuwa wakidanganyana kuhusu kunywa maji mengi, majivu, maji baridi na hata kuruka sarakasi au kunawa kunaweza kuzuia ujauzito. Je kuna ukweli wowote