Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, K-Mziwanda amesema hakuna tukio lililomuumiza kama la Oktoba 29, 2025 kwani alipoteza marafiki (washkaji) wengi anaowafahamu "Kuna tukio jingine... sasa hili ni...
11 Reactions
26 Replies
791 Views
Taarifa kamili hii hapa --------------------- Union Berlin imemtangaza Marie-Louise Eta kuwa kocha wao mpya wa muda (interim coach) baada ya kumfuta kazi aliyekuwa kocha wao, Steffen Baumgart...
3 Reactions
22 Replies
464 Views
Yaani GENTAMYCINE niseme mapema Jambo JF halafu lisitokee? Rejeeni Uzi wangu wakati Msimu huu unaanza mjue.
4 Reactions
13 Replies
460 Views
Patashika nguo kuchanika inatarajiwa leo wakati Chelsea FC watakapowakaribisha Manchester City katika dimba la Stamford Bridge, kwenye mchezo wa kusisimua wa English Premier League Chelsea...
1 Reactions
20 Replies
538 Views
Mashindano ya Ligi ya Muungano ya Mpira wa Miguu yanatarajiwa kuanza Aprili 21 hadi 29, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Timu nane zitashiriki mashindano hayo, ambapo kwa upande...
2 Reactions
5 Replies
418 Views
Nimepata funzo kubwa kwenye maisha, huwezi amini huyu ni rafiki yangu, kiasi hatuwezi pishana bila kusalimiana. According to Micky jr, mtu WA michezo kadai kaka yangu kachaguliwa kuchezesha kombe...
6 Reactions
18 Replies
434 Views
EPL inazidi kunoga. Watetezi wa kombe wanapelekewa moto huko. Wakati City tunategemea leo kusumbuliwa na Chelsea.
3 Reactions
30 Replies
470 Views
Baada Ya Kubana, sasa Wanaachia. Dk 60 SSC 2 - 1 DFC
1 Reactions
3 Replies
256 Views
Kwenye mechi inayoendelea sasa kati ya Dodoma Jiji na Simba Sc ikiwa simba hatopata goli na kufuzu kwenye haya mashindano nitatangaza rasmi kuachana na masuala ya mipira ikiwa ni kufatilia matokeo...
6 Reactions
26 Replies
359 Views
Emmanuel Mwayombo,a.k.a mpekeo mtandala,mwandishi wa majini,kawaumbua simba.Anasema ameongea na timu inayommiliki eno loemba ya cameroun inadai fedha za kuuzwa kwa loemba,na deadline imepita simba...
2 Reactions
2 Replies
371 Views
Arsenal, ambao ni vinara wa Ligi Kuu England (EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kubaki na alama 70 baada ya...
5 Reactions
19 Replies
529 Views
Tayari Mo Dewji amepeleka mapendekezo kwenye bodi ya udhamini kutaka kujenga uwanja kwe uwanja wa Bunju. Simba imepata katiba mpya ambayo inataka mchakato wa uwekezaji uanze upya baada ya logo ya...
4 Reactions
11 Replies
707 Views
Hii tabia imekuwepo muda mrefu sana, kuna kipindi Mkude alikuwa akisifiwa sana wakati yeye alikuwa chanzo cha makosa mengi, walimsifia mpaka viongozi wakawa wanaogopa kumwacha kwa kuwaogopa...
10 Reactions
21 Replies
587 Views
Mechi ya kiporo ya TRA SC dhidi ya Simba SC inatarajiwa kupigwa jioni saa 10:00 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium, ikiwa ni sehemu ya mashindano ya NBC Premier League, ambapo timu zote...
3 Reactions
51 Replies
1K Views
.... kwa sababu nimebeti hela nyingi sana Azam ishinde mchezo huo.
4 Reactions
8 Replies
271 Views
Kataeni kubalini Damaro si Mtanzania bali ni Raia wa Guinea. Acheni kufanya Propaganda za Kuwaaminisha Watu kuwa Damaro ni Mtanzania. Mlichokifanya Mwanza juzi ni Mkakati mliouratibu kwa Wiki kwa...
5 Reactions
14 Replies
345 Views
Wakati msafara wa timu ya Simba SC ukiingia uwanjani majira ya Saa 8:30 Mchana wa leo Aprili 9, 2026 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kuna hali...
3 Reactions
7 Replies
481 Views
Taarifa zinazozunguka ndani ya Jiji la Mwanza na wadau wa soka mkoani Mwanza zinaibua maswali mazito kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji FC, hususan katika eneo la matumizi ya...
1 Reactions
3 Replies
366 Views
Usiku wa leo, Aprili 8, burudani kutoka UEFA Champions League inaendelea 🔥 Mashabiki wa soka duniani wanasubiri kwa hamu mechi hizi kali: FC Barcelona 🆚 Atlético Madrid Paris Saint-Germain 🆚...
3 Reactions
10 Replies
362 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…