FT | Arsenal 1-2 Bournemouth | EPL | 11.04.2026 | Arsenal washikwa Bega na Bournemouth

FT | Arsenal 1-2 Bournemouth | EPL | 11.04.2026 | Arsenal washikwa Bega na Bournemouth

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
415
Reaction score
545
Arsenal, ambao ni vinara wa Ligi Kuu England (EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kubaki na alama 70 baada ya kucheza michezo 32, huku wapinzani wao wa karibu, Manchester City, wakiwa na alama 61 na michezo 30.

1775914168783.png
Kupoteza huko kumeongeza presha katika mbio za ubingwa, hasa wakati tofauti ya alama ikiendelea kupungua kadri ligi inavyoelekea ukingoni.

1775914417003.png

Mchezo ujao wa Arsenal utakuwa mgumu zaidi kwani watakuwa ugenini katika dimba la Etihad, wakikabiliana na Manchester City katika mwendelezo wa ligi hiyo. Huo utakuwa mchezo muhimu sana katika kuamua hatima ya mbio za ubingwa

1775914189640.png
 
Arsenal, ambao ni vinara wa Ligi Kuu England (EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kubaki na alama 70 baada ya kucheza michezo 32, huku wapinzani wao wa karibu, Manchester City, wakiwa na alama 61 na michezo 30.

Kupoteza huko kumeongeza presha katika mbio za ubingwa, hasa wakati tofauti ya alama ikiendelea kupungua kadri ligi inavyoelekea ukingoni.


Mchezo ujao wa Arsenal utakuwa mgumu zaidi kwani watakuwa ugenini katika dimba la Etihad, wakikabiliana na Manchester City katika mwendelezo wa ligi hiyo. Huo utakuwa mchezo muhimu sana katika kuamua hatima ya mbio za ubingwa

Arsenal ni kama sikio la kufa. Miaka nenda rudi wanaishia kunusa ubingwa na kuambulia kucheza UCL. Wanakera sn
 
Arsenal, ambao ni vinara wa Ligi Kuu England (EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kubaki na alama 70 baada ya kucheza michezo 32, huku wapinzani wao wa karibu, Manchester City, wakiwa na alama 61 na michezo 30.

Kupoteza huko kumeongeza presha katika mbio za ubingwa, hasa wakati tofauti ya alama ikiendelea kupungua kadri ligi inavyoelekea ukingoni.


Mchezo ujao wa Arsenal utakuwa mgumu zaidi kwani watakuwa ugenini katika dimba la Etihad, wakikabiliana na Manchester City katika mwendelezo wa ligi hiyo. Huo utakuwa mchezo muhimu sana katika kuamua hatima ya mbio za ubingwa

Wamecheza kama timu ambayo haipo kwenye mbio za ubingwa
 
Manchester City Bingwa tena.

Pep ni mtaalam sana wa kumaliza ligi kibabe, Arsenal huwa wana moto mkali mwanzoni hadi katikati ya ligi ila huku mwishoni huwa wanalegeza
 
Back
Top Bottom