Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Masaa 72 ya Ulaya na masaa 72 ya Tanzania ni tofauti kabisa. Think globally Act locally. Masaa 72 ya kucheza baina ya mechi yamezingatia vitu mbalimbali ambavyo Tanzania havipo. Baadhi ya vitu...
7 Reactions
19 Replies
474 Views
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Véron Mosengo-Omba amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuhudumu kwa zaidi ya miaka 30. Katika taarifa yake kwa umma amesema amechukua uamuzi...
1 Reactions
2 Replies
234 Views
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe akizungumza na waandishi wa habari mjini Cairo, Misri Machi 29, 2026 amesema; "Mechi ya fainali Morocco kati ya Senegal na Morocco, si...
2 Reactions
3 Replies
245 Views
Kobe Bryant's NBA life, career in photos 1996 Bryant was a 17-year-old kid when he entered the NBA and had a childlike grin when the Lakers introduced him as the newest member of their...
0 Reactions
2 Replies
114 Views
Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na...
13 Reactions
58 Replies
3K Views
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Machi 26, 2026, ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi Kuu ya NBC na kufanya maamuzi...
6 Reactions
22 Replies
792 Views
Ni suala la muda tu. Rais wa CAF bilionea Patrice Motsepe yupo kikaangoni baada ya kuhusishwa na ufisadi wa kutisha ndani ya CAF. Wafuatiliaji wa kiintelejensia waliotega mitambo yao ndani ya...
2 Reactions
13 Replies
521 Views
Nimehamisha 95000 kutoka wallet yangu ya premier bet toka leo usiku mda wa saa tisa lakin hadi sasa hela yangu haijafika kwenye account yangu ya m-pesa. Nikahamisha tena 5000 naenyewe bado...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Kombe la Dunia la FIFA 2026, mashindano makubwa ya kimataifa ya soka, yanaanza rasmi Juni 11, 2026 na kuleta pamoja timu bora za Taifa kutoka duniani kote. Kwa mara ya kwanza katika historia...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
  • Redirect
Upinzni uende hata kwenye soka sio kwenye mapigano pekee
2 Reactions
Replies
Views
Straight to ostracize poor approach & strategies Plugged in the Team by this Rude boy, Arteta. Game ya Jana anaanza na Forward wawili lakini primary approach ni kujilinda so Forward walikuwa wa...
4 Reactions
43 Replies
798 Views
  • Featured
Morocco imetawazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika la 2025 baada ya uamuzi mzito siku ya Jumanne kueleza kuwa ushindi wa bao 1-0 wa Senegal kwenye fainali umebatilishwa. Senegal...
14 Reactions
154 Replies
5K Views
  • Redirect
Yani mkeka hutachanika. Mechi inaendelea ya kirafiki 1-0 dhidi ya timu ya taifa mbovu dhaifu ya Lietchtestain. Bure kabisa. adriz de mbusii
3 Reactions
Replies
Views
Soka ni mchezo unaopendwa zaidi ulimwenguni, lakini je, kweli Afrika ina nafasi sawa katika uwanja huu wa kimataifa? Ukweli mchungu ni kwamba mpira wa miguu umetumiwa kama silaha ya kudhibiti bara...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kimpira ni jambo la manufaa sana. Itapendeza siku moja uwanja wa Jamhuri uwe na hadhi ya CAF. Ila kitechnical ni sahihi viti vya uwanja wa umma kupelekwa uwanja binafsi? ==== Meneja wa Uwanja wa...
5 Reactions
15 Replies
416 Views
Klabu ya Simba imemuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wake Elie Mpanzu ambao utafikia tamati msimu wa 2026/2027. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Simba leo, Jumatatu Machi 23, 2026...
2 Reactions
14 Replies
746 Views
Soka la bongo bana,Yanga imetangaza kumsajili Kelvin Patrick Yondani ,wakati Simba wakitangaza kumwongezea mkataba Kelvin Patrick Yondani toka mwaka jana 2011.Utata,kuna Kelvin Patrick Yondani...
0 Reactions
16 Replies
18K Views
Huwezi kutoka kwenu Mali kuja hapa kutukana watu na kukoromea marefa. Afungiwe haraka sana kuanzia mechi tano. Mnasuburi nini mpaka muda huu? Kama hamna posho za kikao, semeni mimi nitawalipa
3 Reactions
8 Replies
317 Views
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania( TFF) Wallance Karia ametoa mtazamo wake kuhusu kilichotokea kweny taarifa ya bodi ya ligii kuu kupitia kamati ya masaa 72 ya kusema goli lililofungwa...
0 Reactions
2 Replies
295 Views
  • Featured
Kenya ipo katika hatari kubwa ya kupoteza haki yake ya kuwa mwenyeji wa pamoja wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Hali hii inatokana na ucheleweshaji wa malipo ya...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom