Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Eti Pesa ya Kusajili ipo Benki muda wowote wakiitaka naitoa. Pumbavu kabisa Wewe Gabachori Mnafiki. Ninakuchukia.
2 Reactions
18 Replies
569 Views
Eti Pesa ya Kusajili ipo Benki mkiitaka nawapa. Ingekuwepo Benki huko hadi leo ungeshindwa Kumsajili Fei Toto? Idiot...!
3 Reactions
27 Replies
407 Views
Wananchi wameamka asubuhi, Kisha wamechagua ukatili. Matumizi makubwa sana ya nguvu kumuua mbu, aliye juu ya nyeti za aliyetahiriwa bila ganzi. Pesa zipo bank? GSM zipo mfuko wa shati. Watu wa...
5 Reactions
32 Replies
357 Views
Tofauti ya Yanga na Simba ni viwango vyao vya umbumbumbu. Umbumbumbu wa mashabiki wa Simba ulianza kutangazwa na mwanasimba mwenzao Kaduguda na kukolezwa na Rage. Ukiona mashabiki wanakunya...
0 Reactions
3 Replies
81 Views
Baada ya Klabu ya Yanga kumtangaza Selemani Mwalimu katika kikosi chao, Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally ameandika ujumbe mzito ulioambatana na picha ya...
0 Reactions
4 Replies
277 Views
Ahamed Ally aliotea mapema usaliti wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga, hakumtaja kwenye kikosi kilichofanya vizuri na simba msimu uliopita.
2 Reactions
1 Replies
125 Views
Utambulisho wa Selemani Mwalimu , kwa Simba yangu ni uhuni unaoendelea Simba , msituone sisi ni wajinga nyie viongozi majahili wa Simba
23 Reactions
121 Replies
2K Views
Uongozi wa Simba unaendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zimeanza kuibua maswali mazito miongoni mwa mashabiki wa klabu hiyo. Miongoni mwa maeneo yanayoonekana kuwa na changamoto...
1 Reactions
5 Replies
114 Views
Mzabuni wa Jezi za Simba SC, CPA Joseph Rwegasira akiwa ndani ya CrownsTv kwenye uzinduzi wa kampeni ya X-Factor
1 Reactions
9 Replies
256 Views
Ngoja nitafute kabisa Demu wa Kuniliwaza Kesho, kwani ninajua nitapata Machungu ya Kipigo cha ''Kishalubela'' Zenji.
1 Reactions
4 Replies
109 Views
Nakuheshimu tu sitaki Kukupiga Madongo kwakuwa ni Mtani wangu kutoka Mkoani Kagera ila acha Kutuzingua sawa?
3 Reactions
6 Replies
147 Views
Kwa wenzetu mnaeijua vizur ligi yetu na timu zake je tokea kipindi cha siasa za vyama vingi je ilishawai tokea ingawaje timu hazina vyama
1 Reactions
14 Replies
304 Views
Habari za siku nyingi , EPL isharudi Msimu 202627 , JamiiForums Fantasy League imerejea . Jiunge uoneshe uwezo ushinde prizes kutoka Fantasy EPL na ligi ndogo mbalimbali zilizopo nchini ...
1 Reactions
0 Replies
52 Views
Tarehe 12 Agosti, macho ya mashabiki wa soka Tanzania yataelekezwa Amaan Stadium, Zanzibar, ambapo Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii. Hii si mechi ya kawaida. Ni Derby ya...
0 Reactions
2 Replies
127 Views
Kuna wachezaji wabovu hasa wa kigeni waliwahi kusajiliwa kwa mbwembwe na timu za Simba na Yanga ila wakaishia kuondoka nchini kimya kimya kutokana na uwezo wao mdogo hata kufikia kushindwa kiuwezo...
3 Reactions
155 Replies
30K Views
Fei Toto alitoka Yanga ikiwa haina kombe la CAF na yuko Azam ambayo haina kombe la CAF. Yanga ilikuwa inashinda vikombe vya ligi ikiwa na Fei na inaendelea kushinda bila Fei. Aliikuta Azam ikiwa...
4 Reactions
9 Replies
194 Views
Kati ya misimu miwili au mitatu tumeona ngao ya jamii ikigombaniwa na timu nne ila msimu huu ni timu mbili. Kwamba ikionekana simba na yanga hawakutani kwenye hiyo mechi kanuni ya timu nne ndio...
2 Reactions
11 Replies
268 Views
Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026. Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa...
3 Reactions
2 Replies
78 Views
Badala ya kuleta wachezaji makini na hodari mnaleta Simba wa porini toka ngorongoro. Sio mbaya watu wengi wa Dar hawana uwezo kwenda mbugani kuangalia wanyama. Mbaya zaidi Straika anasaidia timu...
3 Reactions
6 Replies
166 Views
Back
Top Bottom