Klabu ya Yanga Sc imekubali kichapo cha bao 1-2 dhidi ya Les Aigles Du Congo katika mchezo wa Yanga Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru.
Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha maadhimisho ya...
Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Arnold Okwi, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya miaka mingi ya mafanikio uwanjani. Kupitia ujumbe wake, Okwi amesema uamuzi...
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
Hotuba ya jana ilikua ni kama inataka kufikisha ujumbe kuhusiana na hali halisi ya kinachoendelea pale unyamani
Kwa anayefahamu Kwa mujibu wa katiba ya simba muundo wa kimamlaka uko vipi upande...
Yaan kuanzia Jana mechi ya Simba na Leo Yanga wanacheza kama timu za shule ya msingi sababu yakulazimisha kila mchezaji acheze, yaan hivi vitoto haviko serious na MPIRA
Jana mo kaongea mengi lakini tujikumbushe ahadi zake kabla na baada ya kuingia Simba.
Kabla ya kuingia Simbq alisema anataka kuifanya Simba ishindane na Mazembe ambayo wakati huo ilikuwa kiwango...
Miaka 33 mpka sasa lakini leo Karudisha viungo wote darasani, kaanza ngoma kakimbia kaja DAMARO kakimbi kaja DUKE, MUDA, na CASSEMIRO hao wataenda kulala na viatu mtaalamu alizima kelele mjini
Katika kuonesha matukio ya uwanjani Leo hii Tarehe 8-8-2026 Azam TV wamezingua,sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi.
Wamekua wanaonesha mahojiano Zaidi nje ya uwanja,badala ya kuonesha matukio...
Wakuu, unaambiwa huu uwanja umefanyiwa ukarabati na kukosti b19 za kibongo.
Taa hakuna kabisa ni giza tupu, nini kilicho ongezeka hapo zaidi ya, viti, taa na nyasi bandia kama za kmc?
Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala...
Klabu ya Simba SC imekubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police FC ya nchini Kenya katika mchezo wa Simba Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru.
Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha...
Kivyovyote itakavyo kuwa tatizo kubwa la Simba msimu ujao,ni safu ya ushambuliaji.
Kwa jinsi kikosi kilivyo hatutarajii goli za kutosha kwenye michezo ijayo goli 0-2 inatarajiwa kutokea mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.