Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Si mmejionea wenyewe Yaani mmempa authority kama vile yeye ni Mungu wenu, Sasa yeye ndo kawa kocha Ndo maana mmefungwa na mpira mmechezewa
10 Reactions
54 Replies
956 Views
Nimeona hii taarifa kwenye official page ya Club,mwenye kujua kwa undani nini kimefanyika huko Bunju.
4 Reactions
26 Replies
877 Views
Klabu ya Yanga Sc imekubali kichapo cha bao 1-2 dhidi ya Les Aigles Du Congo katika mchezo wa Yanga Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru. Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha maadhimisho ya...
1 Reactions
109 Replies
2K Views
Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
2 Reactions
5 Replies
170 Views
Limeshaharibu tayari. Vinyimbo vyenyewe viwili tu visivyo na maana yoyote halafu mnaliita kuja kuishia kuleta mambo ya kijinga tu.
12 Reactions
100 Replies
1K Views
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Arnold Okwi, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya miaka mingi ya mafanikio uwanjani. Kupitia ujumbe wake, Okwi amesema uamuzi...
5 Reactions
16 Replies
314 Views
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
5 Reactions
45 Replies
6K Views
Hotuba ya jana ilikua ni kama inataka kufikisha ujumbe kuhusiana na hali halisi ya kinachoendelea pale unyamani Kwa anayefahamu Kwa mujibu wa katiba ya simba muundo wa kimamlaka uko vipi upande...
0 Reactions
14 Replies
220 Views
Yaan kuanzia Jana mechi ya Simba na Leo Yanga wanacheza kama timu za shule ya msingi sababu yakulazimisha kila mchezaji acheze, yaan hivi vitoto haviko serious na MPIRA
0 Reactions
13 Replies
246 Views
Jana mo kaongea mengi lakini tujikumbushe ahadi zake kabla na baada ya kuingia Simba. Kabla ya kuingia Simbq alisema anataka kuifanya Simba ishindane na Mazembe ambayo wakati huo ilikuwa kiwango...
3 Reactions
12 Replies
219 Views
Miaka 33 mpka sasa lakini leo Karudisha viungo wote darasani, kaanza ngoma kakimbia kaja DAMARO kakimbi kaja DUKE, MUDA, na CASSEMIRO hao wataenda kulala na viatu mtaalamu alizima kelele mjini
4 Reactions
3 Replies
172 Views
Katika kuonesha matukio ya uwanjani Leo hii Tarehe 8-8-2026 Azam TV wamezingua,sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi. Wamekua wanaonesha mahojiano Zaidi nje ya uwanja,badala ya kuonesha matukio...
8 Reactions
35 Replies
644 Views
Wakuu, unaambiwa huu uwanja umefanyiwa ukarabati na kukosti b19 za kibongo. Taa hakuna kabisa ni giza tupu, nini kilicho ongezeka hapo zaidi ya, viti, taa na nyasi bandia kama za kmc?
7 Reactions
17 Replies
618 Views
Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala...
12 Reactions
68 Replies
2K Views
Na hamjaishia tu Kumkataa bali mmeenda mbele zaidi na kusema kuwa ni Mchezaji wa Mangungu msiyempenda.
3 Reactions
13 Replies
415 Views
Klabu ya Simba SC imekubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police FC ya nchini Kenya katika mchezo wa Simba Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru. Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha...
2 Reactions
56 Replies
1K Views
Kivyovyote itakavyo kuwa tatizo kubwa la Simba msimu ujao,ni safu ya ushambuliaji. Kwa jinsi kikosi kilivyo hatutarajii goli za kutosha kwenye michezo ijayo goli 0-2 inatarajiwa kutokea mara...
1 Reactions
5 Replies
142 Views
Watu wanaleta janja janja hadi mbele ya camera na kwa trend ya nchi yetu kuhoji ni kosa la huahini au ugaidi kwenye taasisi yoyote
4 Reactions
13 Replies
301 Views
Kama ungekuwa wewe ni Jose Mourinho, ni yupi kati ya Mbappe na Vinicius Jr ungemuuza? HALA MADRID Kylian Mbappe Vinicius Junior
1 Reactions
12 Replies
302 Views
Back
Top Bottom