GSM akichekewa atakuja kumsajili hata Mo dewj

GSM akichekewa atakuja kumsajili hata Mo dewj

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,027
Reaction score
33,003
Wananchi wameamka asubuhi, Kisha wamechagua ukatili. Matumizi makubwa sana ya nguvu kumuua mbu, aliye juu ya nyeti za aliyetahiriwa bila ganzi. Pesa zipo bank? GSM zipo mfuko wa shati. Watu wa motoni hao.

Sele Gomez ni Mwananchi, Kuna sajili zina maanisha "Mimi ni Giant kwenye hii nchi" Yanga ni kama yule jamaa mwenye hela kwenye mtaa anaoishi demu wako asiyetosheka..

Leo unamtolea mahari, kesho Anapost miguu kwenye dashboard yupo kwenye gari yetu.
Sele alitangazwa ni mchezaji wa Simba, siku moja mbele ni Mwananchi,

Nikikwambia hawa ni watu wa motoni, Nieleweni. Nb; Ni vile tu hamtaki kuambiwa ukweli.

Note: GSM afungwe Speed governor
1786428179329.jpg
 
Haah kama Mo sawa wamchukue tu mana pesa ipo bank!❗️

Yule muhindi anapenda pesa sana wanajibebea wakitaka🦘

Lkn tumaini letu lipo kwa Mangungu
yule hawezi kutusaliti wakufa na kuzikana
tutaendelea kumlinda
kwa wivu kubwa❗️👈
 
Back
Top Bottom