Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Yeah nawapongeza sana Simba sc, kwasababu naona nafasi ya pili msimu wa 2026/2027 nafasi yao iko very secured. Naona mabeki wao wazuri Kameta Duchu, Kibabage wakipambana angalau wafikie nafasi...
1 Reactions
5 Replies
150 Views
Police have arrested two suspects and recovered dozens of suspected stolen mobile phones as investigations continue into the murder of Owor David, a captain of Villa Football Club. According to...
0 Reactions
6 Replies
100 Views
Pamoja na kufanya maboresho kadhaa ya kikosi kwenye dirisha kubwa la usajili, Klabu ya Simba inatarajiwa kuonyesha sura ya kikosi chake kitakachopambana katika msimu wa 2026/27 wakati wa Tamasha...
3 Reactions
10 Replies
388 Views
Mara baada ya kupata wasaha wakumsikiliza mara kadhaa, nimejiridhisha kuwa ndugu zetu wa Simba wana kila sababu ya kuhakikisha anabaki madarakani ili kuimarisha timu yao. Sioni kiongozi wakumzidi...
1 Reactions
9 Replies
182 Views
Kama kuna tukio moja kubwa linalowakutanisha watanzania wengi kwa mara moja, basi tukio hilo ni Derby ya Kariakoo. Hizi klabu mbili zinawaunganisha watanzania nje ya mipaka ya itikadi, dini...
4 Reactions
19 Replies
147 Views
🔥 COMEBACK 5 KUBWA ZAIDI KWENYE HISTORIA YA SOKA (2005–2025) ⚽🔥 🥇 1. Liverpool 3-3 AC Milan (2005) Walikuwa nyuma kwa mabao 3-0 kipindi cha kwanza dhidi ya mabingwa waliotikisa Ulaya. Ndani ya...
9 Reactions
44 Replies
848 Views
  • Poll Poll
Vilabu vya Simba SC, Yanga SC na Azam FC vimezindua rasmi jezi zao zitakazotumika katika msimu wa 2026/27, huku kila klabu ikiwasilisha muundo mpya unaoakisi utambulisho wake na malengo ya msimu...
4 Reactions
27 Replies
722 Views
Azam FC wanachofanya ni kiburi cha pesa ambacho hakina tija yoyote kwao. Tangu usajiri wa Feisal ufanyike, Azam FC imeendelea kua msindikizaji Katika mashindano ya ndani na hata Yale ya...
2 Reactions
9 Replies
194 Views
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
2 Reactions
31 Replies
405 Views
Ni vile tu watu hupenda michezo na hakuna mishe za kuwapa watu ubusy ila mvuto unapungua si kwa wasanii,wala timu halikwa
4 Reactions
15 Replies
332 Views
Kuna nyakati chache katika historia ya soka ambazo dunia haichagui kwa kura, bali inakubaliana kimya kimya. Hakuna mkutano unaoitishwa, hakuna tangazo linalosomwa, lakini macho ya mamilioni ya...
2 Reactions
7 Replies
276 Views
Hakyanani uliyetengeza Jezi za Yanga SC safari hii umewatafutia tu Yanga matatizo mitaani. Sasa zinitwa Jezi Mimba.
2 Reactions
3 Replies
201 Views
Halafu kwanini kila anayezivaa hizi Jezi hasa akiwa ni Mwanaume anaonekana kama vile ana Mimba? Kulikoni tena?
4 Reactions
11 Replies
343 Views
Viwango vipya vya ubora wa klabu za Afrika (CAF Clubs' Ranking) msimu wa 2026/27 vinaonyesha Simba SC ikiwa nafasi ya 11 kwa alama 38, huku Yanga SC ikishika nafasi ya 12 kwa alama 35. Azam FC...
7 Reactions
24 Replies
719 Views
Mabingwa wa NBC mara 5 Mfululuzi Yanga SC leo wanafanya Mkutano wao Mkuu wa Mwaka na Uchaguzi , katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, . Na mojawapo ya Ajenda kuu ni Uchaguzi wa kuchagua viongozi...
3 Reactions
4 Replies
346 Views
Umekuwa kocha wa timu za miguu za wanawake kwa miaka mingi sana.Umefanya mengi mazuri,lakini uwezo wako na ujuzi wako umefika upeo,inatosha.Jiuzulu aje mwingine ajaribu na yeye,huna jipya,angalia...
3 Reactions
14 Replies
233 Views
Kwa mujibu wa Mwandishi Lorenz Köhler amesemea kuwa kiungo mshambuliaji Neo Maema anatarajiwa kurejea Simba SC kwa mkopo akitokea Mamelodi Sundowns kwa msimu wa 2026/27. Simba SC na Mamelodi...
2 Reactions
11 Replies
352 Views
Kuna tafsiri ambayo wana Simba SC Tanzania wanayo kwa Mwenyekiti wa Klabu yao MURTAZA MANGUNGU na kuna tafsiri wana Simba wanayo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi CRESENTIUS MAGORI. Bahati...
6 Reactions
35 Replies
804 Views
Tanganyika na Zanzibar wanacheza huko. Lakini kwenye screen wameandika Zanzibar na Tanzania bara. Sijui ni kwa nini wasiandike tuu Tanzania bara Vs Tanzania visiwani
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom