fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,623
- 9,168
Sio hari,eti timu ina hari,sio hari ni ARI
Ni hilo neno moja tu au unatuongezea mengine?Sio hari,eti timu ina hari,sio hari ni ARI
Anapoharibu mwingine namsahihisha.Pia watangazaji wengi wa vipindi vya michezo wanaharibu kiswahili kwa kuchanganya maneno ya kiingereza kwenye uchambuzi wao.Mharibifu mkubwa kuliko wote ni Nazaret Upete.Upete ananikera sana kwani yeye anaongea kiarabu vizuri tu,sasa kwanini kuchanganya kiswahili na kiingereza kwenye uchambuzi wa michezo.Ni hilo neno moja tu au unatuongezea mengine?
NB:Lugha ni sanaa yenye kuhitaji umahiri wakati mwingine husindikizwa na kipaji.
bado hajaoa au kuolewa
###NjeYaMada###
Bi Dada Amebahatika Kuoa Au Kuolewa..??