Captain wa timu ya mpira wa Iran; Tumefurahia kuwa hapa Mexico, tumeambiwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya wanatupenda sana

Captain wa timu ya mpira wa Iran; Tumefurahia kuwa hapa Mexico, tumeambiwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya wanatupenda sana

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
1,289
Reaction score
3,184
Captain wa timu ya taifa ya Irana lipokuwa akihojiwa amedai, wanafuraha kubwa kuwa hapa Mexico kwenye kombe la dunia hili, kwani wameambiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, cartel, wanawapenda sana.

Jambo amabalo limeibua maswali Kwa raia, wakihoji biashara hio si halali kwanini mchezaji huyo kaongea bila kuogopa je Kuna mtu kampanga au alikua na mana gan?

Screenshot_20260612-054843.jpg
 
Captain wa timu ya taifa ya iran, alipo kua akihojiwaa amedai, wanafuraha kubwa kuwa hapa mexico kwenye kombe la dunia hili, kwani wameambiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, cartel, wanawapenda sana.

Jambo amabalo limeibua maswali Kwa raia, wakihoji biashara hio si halali Kwa Nini mchezaji huyo kaongea bila kuogopa je Kuna mtu kampanga au alikua na mana gan?

Kumbuka mwezi huu wa 6 hapa hapa Bongo Kuna raia 6 wa Iran wakipewa hukumu ya Maisha kwa kukutwa na unga kutoka Mexican Tani za kutosha tu
 
Hawa ndo wanaume sasa, Bifu lidumishwe hata kwenye Sherehe.
 
Ni unga wa ngano 😄

Huku mwema Kwa ana wasupport

Huku mbaya Kwa anao taka kuwatapeli mali zao na kulinda maslahi yao
Mtihani aise, sijui mtu anajisikiaje kusapoti anaehalalisha ushoga!!
 
Back
Top Bottom