FT: Yanga 3-0 JKT Tanzania | Ligi Kuu NBC | 30.06.2026 Yanga Bingwa kwa mara 5 mfululizo

FT: Yanga 3-0 JKT Tanzania | Ligi Kuu NBC | 30.06.2026 Yanga Bingwa kwa mara 5 mfululizo

BA AURA

Member
Joined
Jun 10, 2026
Posts
14
Reaction score
59
Yanga wamebeba tena ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa mara 5 mfululizo

Ambapo msimu huu wa 2025/ 2026 ilionekana kama kutobeba ubingwa huu lakini wameonyesha ubabe wao tena
#####
Vinara wa ligi kuu bara au mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu ya Tanzania bara Young African sport club Leo watakuwa dimbani kuchuana na JKT Tanzania , michezo huu ni muhimu kushinda kwa Yanga ili itwae mwari kwa Mara nyingine Tena.

Je Allan Okello atachukua ufungaji bora ?

Let's wait 16:00

MOVE ON YOUNG AFRICAN

Screenshot 2026-06-30 181113.png
Screenshot 2026-06-30 181113.png
 
Mechi ngumu sana hii kwa wananchi Young Africans! Wakati huo huo Makolo wanaenda kujiangushia bomu lao mochwari! Kiurahisi kabisa!

Vijana pambaneni mpate hata sare basi kama itashindikana kuwafunga hawa wakamiaji. Itakuwa ni aibu na fedheha kubwa kunyang'anywa tonge mdomoni.
 
Sare inatosha, ili makolo waumie tuanze na goli moja la mapema halafu tuwaachie goli dakika ya mwisho chuma ikae 1-1
 
Mechi ngumu sana hii kwa wananchi Young Africans! Wakati huo huo Makolo wanaenda kujiangushia bomu lao mochwari! Kiurahisi kabisa!

Vijana pambaneni mpate hata sare basi kama itashindikana kuwafunga hawa wakamiaji. Itakuwa ni aibu na fedheha kubwa kunyang'anywa tonge mdomoni.
Abadani JKT kumfunga Yanga leo,3 zinawahusu.
 
Vinara wa ligi kuu bara au mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu ya Tanzania bara Young African sport club Leo watakuwa dimbani kuchuana na JKT Tanzania , michezo huu ni muhimu kushinda kwa Yanga ili itwae mwari kwa Mara nyingine Tena.

Je Allan Okello atachukua ufungaji bora ?

Let's wait 16:00

MOVE ON YOUNG AFRICAN
Ligi tamu ni ile ya ushindani wa kuepuka kushuka daraja
 
Aisee saa 11 asubuhi ukawahi kuangusha Uzi. Itakuwa mwanayanga wewe. Yaani umevizia uwe wa kwanza.
Chukuemi ubingwa ila hamna kikosi cha champions league.
Mechi nyepesi sana kwa uwanjani ila ngumu kiushabiki.
 
Naombea simba ashinde kama 4 hivi,halafu match ya yanga ichelewe kuisha, hadi dakika ya 89 JKT 2-1 yanga,,bado sekunde refa kupuliza filimbi,namna gani dube anachezewa rafu mbaya eneo la penati, okele anasawazisha kwa penati na kuandika goal lake la pili la mchezo,Yanga bingwa Okello Top scorer, kwako Ghalib mzinga
 
Aisee saa 11 asubuhi ukawahi kuangusha Uzi. Itakuwa mwanayanga wewe. Yaani umevizia uwe wa kwanza.
Chukuemi ubingwa ila hamna kikosi cha champions league.
Mechi nyepesi sana kwa uwanjani ila ngumu kiushabiki.
Aziz K, Feitoto,Sowah, Allan Okello, Pacome, Mzize, Job,Baka, Mudathir, Boka,Mwamnyeto,Depu, Diarra,
 
Back
Top Bottom