Hivi karibuni kampuni ya NMB ilidhamini mafunzo ya ukocha wa awali yanayotolewa na Chama Cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA). NMB ilitoa tracksuits, mipira, pamoja na raba kwa ajili ya washiriki...
Manchester United manager Sir Alex Ferguson has never been averse to giving the referee a piece of his mind and, on Saturday, it was no different. Following United's surprise 2-2 draw with...
Pambano la kutafuta nafasi ya kucheza fainali za kombe la dunia siku ya Jumamosi England itakapocheza nchini Ukraine litaoneshwa kupitia mtandaoni kwa watakaolipia tu angalo paundi 4.99.
Awali...
Wachezaji wote wa timu ya kwanza ya Portsmouth inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza jana hawakulipwa mishahara yao kama kawaida, jambo ambalo likezua utata mkubwa.
Meneja mkuu wa timu hio Paul...
niko mbali naTz, nje Tz kama miezi tisa hivi, nilipoondoka kulikuwa na fununu za mlisho ngassa kawin deal kwenda kucheza soka la kulipwa majuu ila story naona imefifia.nini kulikoni?
Tanzania ni miongoni mwa mataifa ambayo yatashirikishwa katika mashindano ya soka ya Kombe la Dunia, kwa vijana wanaozurura ovyo mitaani, yatakayofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, mwezi Machi...
Live - 2016 Olympics decision day
BBC News Online
#ss-olympic_games h2 {background:#FFFFFF; color:#333333; font:bold 0.85em verdana;} Four cities across four continents are waiting to hear...
Friday, September 25, 2009
Refa aliyekuwa akichezesha mechi ya ligi kuu ya Qatar alitoa kali ya mwaka ambayo haijawahi kutokea kwa kusimamisha mechi kwa muda na kuanza kukojoa katikati ya uwanja...
http://www.youtube.com/watch?v=3fEzjaUDvAo
rumba hili huwa nikilisikia kila ijumaa linanifanya niwe mpyaaa nasahau stress zooote za wiki na kazi najiandaa tena kwa shughuli ya week end
Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Ngassa ameshidwa kufuzu kwenye majaribio kwa nujibu wa wakala wake Yusufu Bakhresa ni kuwa ameshindwa kupita kwenye mchujo wa wachezaji wengine 14 waliokuwa...
RAFA BENITEZ saw his side torn apart and admitted: We've never played worse.
Liverpool fell to two first-half goals from Fiorentina wonderkid Stevan Jovetic, 19 - and were lucky not to lose by a...
Samahani kwa vyovyote vile nitakavyokuwa nimeiweka hii habari.
Kwa kifupi mimi ni mpenzi sana wa mpira wa miguu na nina kumbukumbu nzuri sana hata sauti inayotangaza mpira huo. sasa cha kushangaza...
Naomba kuelimishwa, kwa mtazamo na ufahamu wangu ni kwamba Tanzania Football Federation (TFF) ni taasisi ambayo ina watendaji wenye ufahamu na weledi wa hali ya juu katika nyanja mbali mbali za...
MCHEZAJI wa soka wa zamani nchini, Said Mhando (38), amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Mwanasoka huyo mahiri wa zamani aliugua kwa muda mfupi.
Baba wa marehemu, Salum Mhando, amesema...
Matokeo ya mechi ya leo kati ya timu ya WabongoTz waishio Massachusetts (New Englanders) na wale wa Majimbo mengine hapa USA (All Stars) ni suluhu ya bila kwa bila.
Mechi hiyo kali ilichezwa...
2009 FIFA U-20 World Cup preview
Next generation of stars will gather in Egypt later this fall.
Last Updated: Friday, September 18, 2009
 
Brazil's Giuliano, right, is...
Arsenal v Liverpool
Barnsley v Manchester United
Blackburn v Peterborough
Chelsea v Bolton
Manchester City v Scunthorpe
Portsmouth v Stoke
Sunderland v Aston Villa
Tottenham v Everton...