niko mbali naTz, nje Tz kama miezi tisa hivi, nilipoondoka kulikuwa na fununu za mlisho ngassa kawin deal kwenda kucheza soka la kulipwa majuu ila story naona imefifia.nini kulikoni?
Tatizo stamina au ni urefu or kimo?Stamina hakuna mkuu. Kunywa chai na maboga wapi na wapi. Alichemsha, sasa anakipiga jangwani akichuana na kina Juma Kaseja.
Tatizo stamina au ni urefu or kimo?