Bongo soka miyeyusho!

Magehema

JF-Expert Member
Aug 11, 2008
428
27
Hivi karibuni kampuni ya NMB ilidhamini mafunzo ya ukocha wa awali yanayotolewa na Chama Cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA). NMB ilitoa tracksuits, mipira, pamoja na raba kwa ajili ya washiriki wa hayo mafunzo. Cha kushangaza ni kwamba mafunzo yameanza zaidi ya wiki sasa na hakuna kifaa hata kimoja kutoka NMB kinachotumika na wanamafunzo, hii maana yake nini? Je ndo kusema hivyo vifaa ndo mali ya KIFA? Je NMB wanataarifa kwamba vifaa vyao havitumiki kama ilivyokusudiwa? Ni lini tutaachana na hizi njaa za ajabu ajabu????????
 
Hivi karibuni kampuni ya NMB ilidhamini mafunzo ya ukocha wa awali yanayotolewa na Chama Cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA). NMB ilitoa tracksuits, mipira, pamoja na raba kwa ajili ya washiriki wa hayo mafunzo. Cha kushangaza ni kwamba mafunzo yameanza zaidi ya wiki sasa na hakuna kifaa hata kimoja kutoka NMB kinachotumika na wanamafunzo, hii maana yake nini? Je ndo kusema hivyo vifaa ndo mali ya KIFA? Je NMB wanataarifa kwamba vifaa vyao havitumiki kama ilivyokusudiwa? Ni lini tutaachana na hizi njaa za ajabu ajabu????????


Mi ndo maana ninasema sipendi mambo ya mpira kabisa, maana wasanii wote wa kibongo wapo huko, na wanaona ndo kama sehemu ya kuganga njaa.

Vizee vya ajabuajabu vipo huko, havijui a wala be, kazi kubishana tuu mchana kutwa!
Sipendi mpira mimi kabisa!
 
Back
Top Bottom