The Citizen (Dar es Salaam)
17 September 2011
Editorial
The national netball team, Taifa Queens, on Thursday earned Tanzania a silver medal after finishing runners-up at the 2011 All Africa Games...
Wazeya yule boxer tajiri and undeafeated Floyd Mayweather jr. kesho jumapili anapambana na Victor Ortiz mida ya alfajiri sana. Naomba wale wazee wa kuwanga night watutupie matokeo hapa jamvini as...
LAS VEGAS (AP)In just one round, Floyd Mayweather Jr. got a head butt, a kiss and a hug from Victor Ortiz.
He responded with a right hand that ended a bizarre fight early.
The end came just as...
Taarifa nilizozipata hivi punde Mwenyekiti wa chama cha soka Manispaa ya Temeke jijini Dsm, Bwana PETER STEPHEN MHINZI ametenguliwa uraia wake wa Tanzania baada ya uchunguzi wa kina kubaini kuwa...
Meneja wa uwanja wa michezo mjini Arusha Bwana Ngwabi amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa mapato ya uwanja huo.Uwanja wa michezo sheikh Amri Abeid ni miongoni mwa viwanja...
Timu zitakazoshiriki kwenye michuano ya ligi ya mabingwa kwenye hatua ya makundi zina uhakika wa mgao wa Euro Milioni 7.2 kwa kila timu mgao ambao unatokana na mapato yanayopatikana toka kwenye...
Inakaribia miaka 30 sasa tangu Tanzania ishiriki mara ya mwisho kwenye mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, CAN. Na kwa hali jinsi ilivyo kwasasa sidhani kama tunaweza kushiriki kwenye...
Wapendwa, tukio la siku hizi mbili timu zetu kongwe za Simba na Yanga kucheza pale Chamazi zimenipa fikra ya kutaka kujua nikiwa shabiki wa timu hii Simba Sports Club. Kwa muda mrefu viongozi wa...
sijui wanajisikiaje kutumia uwanja unaomilikiwa na klabu iliyoanzishwa miaka mitatu iliyopita wkt wao klabu zinakaribia karne nzima?
Hawa watu kweli hata aibu hawana,duuh!
yanga imeonesha ungangari kugomea jezi za vodacom kutokana na kuwa rangi nyekundu. Lakini hatuoni ikigomea rangi nyekundu na nyeupe ambazo zinatumiwa na watu wa huduma ya kwanza maarufu kama red...
Timu nyingi za ulaya naona zina wanyama ambao kidogo wanafanania na simba lakini sio simba.
Miongoni mwa timu hizo ni Manchester United na Chelsea. Man wanamwita mnyama wao SHETANI MWEKUNDU, je...