Zlatanmasoud
Member
- Dec 19, 2010
- 71
- 15
Jana thierry alifunga bao dhidi ya Leeds akiwa amevaa jezi no 12, zikiwa zimesalia dakika 12 mchezo kwisha, likiwa ni bao la 12 dhidi ya Leeds United, na ni Mara ya 12 kukutana na Leeds, na huu ni mwaka 2012
Huyu jamaa namkubali sana, ningefurahi sana kama angekuja MANUTD.