mapato ya mechi ya yanga na zamaleki, yametangazwa kuni ni milion 280!!huku wadau wengi wakipata wasiwasi na kiasi hicho kutokana na kampuni ya prime time promotion kusimamia pambano hilo na...
chelsea yapata kipigo toka kwa napol,ktk michuano ya kombe la uefa.kwa timu hii hata wafanyeje,inaonekana kama kuna mgomo baridi hivi,yaani wachezaji hawajitumi kabisa!nadhani kocha wa chelsea...
For those true boxing fans, we talked about this in 2010, it seems Pacman is now facing a "reality bite"
Manny Pacquiao insists he'll fight Floyd Mayweather but offer was financially unacceptable...
Nadhani kwa mliowahi uwanjani siku ya mechi ya Yanga na Zamalek mlijionea miongoni mwa vituko ni yule babu aliyevalia American Suti (kwa muonekano alikua mithili ya mjumbe wa KAMATI YA UFUNDI)...
NEW YORK: Jeremy Lin came with an intriguing story even before he escaped the New York Knicks' bench.
First American-born NBA player of Chinese or Taiwanese descent.
Harvard graduate...
BREAKING NEWZ: Kutoka Uwanja wa Taifa. Mashabiki wa Ndala a.k.a Malapa wameenda kukaa jukwaa la Wekundu Simba Taifa kubwa na hawataki kutoka na wanaleta Vurugu huku wakiacha upande wao ukiwa...
Vurugu kubwa zimeripotiwa mara baada ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Coastal Union na Ruvu Shooting.Katika vurumai hiyo,Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting,Charles Boniface Mkwassa amepokea...
Nimesoma habari za michezo mtanadoni naona kuna boing mzimbabwe leo anapambana na Klitschko.
Since kuondoka kwa Tyson boxing imekuwa haina msisimko mkubwa tena kama ule wa zamani watu...
Mabao mawili ya Karim Benzema,moja la Cristiano Ronaldo na lile la Angel Di Maria yalitosha kuipa ushindi wa 4-1 timu ya Real Madrid dhidi ya Racing Santander na kuifanya iendelee kuongoza ligi ya...
Great performance my boy Chisora. you exposed Vitali big time. He is on the decline and you are on your way up. Keep working hard. you've got a big opportunity if you stay focussed...
Chisora has the tools to upset Klitschko
Dereck Chisora is a huge underdog against Vitali Klitschko, but he's still confident he can upset the odds
Preparing for an upset...
Wakuu mapambano ya awali nda yanaanza sasa hv then baadae tuone mrusi na muingereza nani zaidi maana walizozana sana wakati wanapima uzitoi hawa jamaa juzi!
Hawa ndugu zangu naona wameishiwa kabisha..zamaleki wameshafungua domo kumeza hili kandambili wao wamebakia kutafuta wimbio sijui taarabu gani hata siwaelewi elewi. anzisheni bendi kabisa tujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.