Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

mapato ya mechi ya yanga na zamaleki, yametangazwa kuni ni milion 280!!huku wadau wengi wakipata wasiwasi na kiasi hicho kutokana na kampuni ya prime time promotion kusimamia pambano hilo na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
chelsea yapata kipigo toka kwa napol,ktk michuano ya kombe la uefa.kwa timu hii hata wafanyeje,inaonekana kama kuna mgomo baridi hivi,yaani wachezaji hawajitumi kabisa!nadhani kocha wa chelsea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
For those true boxing fans, we talked about this in 2010, it seems Pacman is now facing a "reality bite" Manny Pacquiao insists he'll fight Floyd Mayweather but offer was financially unacceptable...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nadhani kwa mliowahi uwanjani siku ya mechi ya Yanga na Zamalek mlijionea miongoni mwa vituko ni yule babu aliyevalia American Suti (kwa muonekano alikua mithili ya mjumbe wa KAMATI YA UFUNDI)...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
serekali wawekeshe kwenye soka la wanawake wanaume vimeo kila siku waonikifungwa tu hata hawafiki popote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kumtafuta mrithi wa Marcio Maximo Kocha wa Zambia Herve Renard aliomba kuifundisha Taifa Stars lakini TFF wakasema hakidhi vigezo (hana qualification), ikabidi wamuajiri Poulsen. Tujiulize...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Ni nani wakulaumiwa!!!!!!!!!!! Kati ya kocha na wachezzaji. Kama nafasi za kufunga wamezipata!!!!!!! Nani alaumiwe na nini kifanyike
0 Reactions
1 Replies
962 Views
NEW YORK: Jeremy Lin came with an intriguing story even before he escaped the New York Knicks' bench. First American-born NBA player of Chinese or Taiwanese descent. Harvard graduate...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
BREAKING NEWZ: Kutoka Uwanja wa Taifa. Mashabiki wa Ndala a.k.a Malapa wameenda kukaa jukwaa la Wekundu Simba Taifa kubwa na hawataki kutoka na wanaleta Vurugu huku wakiacha upande wao ukiwa...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Vurugu kubwa zimeripotiwa mara baada ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Coastal Union na Ruvu Shooting.Katika vurumai hiyo,Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting,Charles Boniface Mkwassa amepokea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
''This is the worst Arsenal team I have seen in my time watching football. There is a lack of desire and a lack of passion." Roy Keane
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma habari za michezo mtanadoni naona kuna boing mzimbabwe leo anapambana na Klitschko. Since kuondoka kwa Tyson boxing imekuwa haina msisimko mkubwa tena kama ule wa zamani watu...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Mabao mawili ya Karim Benzema,moja la Cristiano Ronaldo na lile la Angel Di Maria yalitosha kuipa ushindi wa 4-1 timu ya Real Madrid dhidi ya Racing Santander na kuifanya iendelee kuongoza ligi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Great performance my boy Chisora. you exposed Vitali big time. He is on the decline and you are on your way up. Keep working hard. you've got a big opportunity if you stay focussed...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chisora has the tools to upset Klitschko Dereck Chisora is a huge underdog against Vitali Klitschko, but he's still confident he can upset the odds Preparing for an upset...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
washika bunduki wapata kipigo cha mabao 2,toka kwa sundaland,na kuiaga michuano ya FA,huyu mzee ameshindwa kazi kwanini wasimfukuze?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mapambano ya awali nda yanaanza sasa hv then baadae tuone mrusi na muingereza nani zaidi maana walizozana sana wakati wanapima uzitoi hawa jamaa juzi!
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hawa ndugu zangu naona wameishiwa kabisha..zamaleki wameshafungua domo kumeza hili kandambili wao wamebakia kutafuta wimbio sijui taarabu gani hata siwaelewi elewi. anzisheni bendi kabisa tujue...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
wakuu nisaidieni matokeo ya mechi ya simba, kwa aliye weza kuyapata.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom