mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
BREAKING NEWZ: Kutoka Uwanja wa Taifa. Mashabiki wa Ndala a.k.a Malapa wameenda kukaa jukwaa la Wekundu Simba Taifa kubwa na hawataki kutoka na wanaleta Vurugu huku wakiacha upande wao ukiwa tupu....Sasa ukisikia ugomvi ndio huo. Kwa hali hiyo wakifa watu wakulaumiwa ni nani? Makanyagio au Kandambili? TFF Mpo wanaanza wenyewe hao mgongo wazi.........In Zamalek We Trust...
Source: Macho yangu nashuhudia.
Source: Macho yangu nashuhudia.