Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Tbc1 wanasema 1-1 ,lakini hawakusema dkk ya ngapi. Wenye habari tupe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwamchezo ulivyokua leo wa Arsenal kutoa sare na norwich cityni dhahiri kabisa clabu ya washika bunduki wa london wameiweka lehan nafac ya tatu kwa newcastle na totenham kuichukua nafasi...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Alex amaliza ukmya kwa watu leo wanaosema kuwa man utd ana uwezo wa kumfunga man ctiy,na hapo ndio ata tangaza kuchuwa ubingwa,wale wote wamashabiki wa ukweli wa man utd.matokeo ni kama hivi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizopata baada ya kamati ya tibaigana kutengua maamuzi ya azam kupewa point za mezani na kutoa agizo la mechi kurudiwa, kesho ndio game inapigwa u/taifa.
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Kumbe siyo Chelsea inayopata Loss kila ciku.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
salama wanajamvi, katika mechi iliyommalizika hizi punde, nimevutiwa sana na uwezo wa huyu jamaa, he is real striker, hawa jamaa wa CHELSEA ni wamefungwa goli mbili na huyu jamaa ambazo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa matokeo ya leo ambapo Real Madrid imekwishafikisha points 94 wakati Barca ina points 87 na imebakia michezo miwili ambapo hata real ikipoteza yote, bado inabaki kuwa bingwa wa msimu huu. Ndoto...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
WANAJF; Pamoja na kwamba sote masikio yetu yako Ikulu kwa ajili ya Baraza la Mawaziri, ambalo kwa hakika halitakuwa na jipya kwasababu ya uzoefu etu na JK. Mimi naomba mwenye updates za mechi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mkuu crashwise najua leo issue ya baraza la Mheshimiwa iko hot tafadhali usisahau kwenye michezo nakutegemea kwa updates mkuu leo Mnyama anaweza akatangaza ubingwa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dah hawa jamaa wamepaniana sana mwisho wake Tiote anatolewa uwanjani kwa mtindo wa Muamba hii ni hatari sana kisa cha Mikael kumchezea mwenie namna ile ni nini ss!pole Tiote
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Bayern Munich are preparing to face Chelsea in the final of the Champions League in the painful knowledge that victory would offer an enormous financial boost to two of their biggest rivals...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hahahahaahah man uuu hoyeeee subiri J2 man cty wamtoe nishai
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Real Madrid has secured its 32nd Primera Division title by beating Athletic Bilbao 3-0 on Wednesday evening. Goals from Gonzalo Higuain, Mesut Ozil and Cristiano Ronaldo helped head coach Jose...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Arsenal: - Fulham striker/attacking midfilder Clint Dempsey likely to land at Emirates. - may lose Robin Van Persie to ManCity (promising a £250,000-a-week salary) - hopes to sign Ajax centre...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
The Catalan outfit's 4-1 victory over Malaga meant that Pep Guardiola's side had found the net on 108 occasions, surpassing the previous standard from the 2008-09 campaign
0 Reactions
1 Replies
957 Views
SASA CKU YA MATCH YA ENGLAND ATAVYOKUWA ANAVYOICHAMBUA bora wafike Hatua za Mbali!
0 Reactions
0 Replies
709 Views
mpambano uliomalizika dakika tano kabla ya dk 90 kumalizika umeamliwa kurudiwa. mamuzi hayo yamefikiwa na kamati ya usuruhishi inayoongozwa na Alfred Tibaigana..
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanataka wawamalize kabisa Red devils wakifanikiwa sign ya huyu Dogo.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tanzania tumepata kuwa na Ma Professional players wengi lakini sio siri huyu kijana Emmanuelle Okwi ni wa aina yake! SIMBA VS SHANDY ( EMANUEL OKWI). www.shaffihdauda.com - YouTube...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Jaza namba inayokosekana: Ruvu 3-0, Moro Utd 3-0, Ahly Shandy 3-0, Yanga...?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…