WANAJF;
Pamoja na kwamba sote masikio yetu yako Ikulu kwa ajili ya Baraza la Mawaziri, ambalo kwa hakika halitakuwa na jipya kwasababu ya uzoefu etu na JK. Mimi naomba mwenye updates za mechi ya marudiano kati ya Azam na Mtibwa atusaidie, kwani hiyo mechi inaweza kuwa na jipya kuliko Baraza Jipya la Mawaziri ambalo litakuwa la kupeana ULAJI tu na si kwa maslahi ya Watanzania.
TELO
Pamoja na kwamba sote masikio yetu yako Ikulu kwa ajili ya Baraza la Mawaziri, ambalo kwa hakika halitakuwa na jipya kwasababu ya uzoefu etu na JK. Mimi naomba mwenye updates za mechi ya marudiano kati ya Azam na Mtibwa atusaidie, kwani hiyo mechi inaweza kuwa na jipya kuliko Baraza Jipya la Mawaziri ambalo litakuwa la kupeana ULAJI tu na si kwa maslahi ya Watanzania.
TELO