Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
hahahahaahah man uuu hoyeeee subiri J2 man cty wamtoe nishai
wamenipa raha sana leo,nawaombea waninyolee na Man Shitiiiii jumapili...
Man City wako juu sidhani kama New Castle watapata kitu, Man City hawawezi kurudia makosa nafasi ya ubingwa ni yao kwa sasa. Wakati mwingine ni rahisi kuishinda timu ngumu kuliko timu rahisi, kama Chelse walivyowafanya Bacelona. Kuanza kuwaombea mabaya wengine ili ushinde hizo ni duwa za kuku kwa mwewe.
wamenipa raha sana leo,nawaombea waninyolee na Man Shitiiiii jumapili...