Hiyo mechi ni dakika 90? Maana ilivunjika dk ya 88. Common sense inasuggest mechi ingechewa dk 2.
Azam wana timu nzuri na ushindi kwao sikitucha ajabu tatizo imeanza kujiingiza kwenye michezo michafu na leohilo halita wezekana maana machoya wengi yako pale naamini mshindi kweli atapatikana.....ngoja tuone na leo wakifungwa azam fc wameliwa hela zao ikishinda azam fc wamehonga tena..
mungu ibariki azam fc
mungu ibariki ligi kuu tz
mungu bariki wachezaji wote wa mchezo wa leo..
Kwa taarifa nilizopata
baada ya kamati ya tibaigana kutengua maamuzi ya azam kupewa point za mezani na kutoa agizo la mechi kurudiwa,
kesho ndio game inapigwa u/taifa.
Ni kweli, taarifa rasmi za klabu ya Azam ni kuwa mechi itarudiwa lleo saa 10 jioni katika Uwanja wa Taifa.
Tunakubali kibusara kurudiana na Mtibwa kwa ajili ya Mpira wetu | The Official Website of Azam Football Club
Azam timu piga mtibwa 8 bila
Azam kishapigwa mkuu pole sana.
matokeo yakoje, any updates?
Mtibwa 2 - Azam 1, game imeisha punde. Azam :second:
Simba :first: