Azam vs Mtibwa

gbrother

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
408
51
Kwa taarifa nilizopata
baada ya kamati ya tibaigana kutengua maamuzi ya azam kupewa point za mezani na kutoa agizo la mechi kurudiwa,
kesho ndio game inapigwa u/taifa.
 
Hiyo mechi ni dakika 90? Maana ilivunjika dk ya 88. Common sense inasuggest mechi ingechewa dk 2.
 
ngoja tuone na leo wakifungwa azam fc wameliwa hela zao ikishinda azam fc wamehonga tena..

mungu ibariki azam fc
mungu ibariki ligi kuu tz
mungu bariki wachezaji wote wa mchezo wa leo..
 
ngoja tuone na leo wakifungwa azam fc wameliwa hela zao ikishinda azam fc wamehonga tena..

mungu ibariki azam fc
mungu ibariki ligi kuu tz
mungu bariki wachezaji wote wa mchezo wa leo..
Azam wana timu nzuri na ushindi kwao sikitucha ajabu tatizo imeanza kujiingiza kwenye michezo michafu na leohilo halita wezekana maana machoya wengi yako pale naamini mshindi kweli atapatikana.....
 
Back
Top Bottom