Nafikiri mmeona tofauti ya Messi na Ronaldo

Nafikiri mmeona tofauti ya Messi na Ronaldo

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
18,364
Reaction score
26,287
Nikiwa kama mpenzi wa soka Ronaldo ni mchezaji Bora kama humfananishi na Messi ni vile ushabiki na mapenzi ya watu kwa mchezaji ndio ujitoa ufahamu. Mashabiki wa Ronaldo walikuwa wanalalamika kwamba wachezaji wenzake hawampi pass Ronaldo wanatakiwa wajue hili heshima huwa inakuja pale ambapo umeonesha una kitu, Ronaldo ukitoa magoal yake hana anacho offer uwanjani yaani asipotengenezewa nafasi ya goal hana anachotoa kwa wenzake ndio maana anakuwa mzigo kwa team badala ya kuwa ni msaada kwa Team.

Ukija kwa Messi, wachezaji wenzake wanaonekana wanampigania haijaja kwa bahati mbaya la hasha! Ni kwasababu ya uwezo wake binafsi wa kuibeba team ndio inampa hiyo heshima. Messi ana offer vingi uwanjani anadrible, anafunga magoli kwenye nyakati ambazo hutegemei na vile vile anatengeneza nafasi kwa wenzake mfano mzuri umeona kwenye mechi ya Jana Argentina ilikuwa imekata tamaa baada ya zile mbili Messi akaona hapati mipira mingi kati akaamua aswitch upande acheze kama Winger wa kulia hiyo inaitwa IQ ya mchezaji aliye bora hii haufundishi na kocha hapo kumbuka imebaki dk 11 mpira uishe impact ikawa kubwa akawa anakuwa more provider badala ya feeder kitu ambacho huwezi kukiona kwa Ronaldo ndipo aka assist na then kufunga.

NB: Messi anaitwa The greatest footballer of all time sio tu kwasababu anafunga magoal mengi pekee ni pamoja na sanaa yake ya uchezaji ndio inayomtofautisha na wachezaji wengine include CR7 ndiyo inayofanya awe Exceptional na kupewa hiyo sifa.

Najivunia sana kuona era ya Messi bila kuhadithiwa kwa kweli kumpata mchezaji aina ya Messi itachukua muda sana ila ni rahisi kumpata Ronaldo.
 
Kwakweli mimi sio mshabiki wa Messi wala Ronaldo,ila kwenye hili kombe la dunia ukiangalia hawa wawili uchezaji wa Ronaldo ni wa kipuuzi sana,anachosubiria ni kutengenezewa mipira ili afunge,wakati ukiangalia kwa mechi ya jana Messi anapambana kila kona,kutafuta mipira ili afunge na hata kuwatengenezea wenzake.Ukienda mbali zaidi ni bora hata kuwa na mtu kama Haaland kuliko kuwa na Ronaldo...
 
Nikiwa kama mpenzi wa soka Ronaldo ni mchezaji Bora kama humfananishi na Messi ni vile ushabiki na mapenzi ya watu kwa mchezaji ndio ujitoa ufahamu. Mashabiki wa Ronaldo walikuwa wanalalamika kwamba wachezaji wenzake hawampi pass Ronaldo wanatakiwa wajue hili heshima huwa inakuja pale ambapo umeonesha una kitu, Ronaldo ukitoa magoal yake hana anacho offer uwanjani yaani asipotengenezewa nafasi ya goal hana anachotoa kwa wenzake ndio maana anakuwa mzigo kwa team badala ya kuwa ni msaada kwa Team.

Ukija kwa Messi, wachezaji wenzake wanaonekana wanampigania haijaja kwa bahati mbaya la hasha! Ni kwasababu ya uwezo wake binafsi wa kuibeba team ndio inampa hiyo heshima. Messi ana offer vingi uwanjani anadrible, anafunga magoli kwenye nyakati ambazo hutegemei na vile vile anatengeneza nafasi kwa wenzake mfano mzuri umeona kwenye mechi ya Jana Argentina ilikuwa imekata tamaa baada ya zile mbili Messi akaona hapati mipira mingi kati akaamua aswitch upande acheze kama Winger wa kulia hiyo inaitwa IQ ya mchezaji aliye bora hii haufundishi na kocha hapo kumbuka imebaki dk 11 mpira uishe impact ikawa kubwa akawa anakuwa more provider badala ya feeder kitu ambacho huwezi kukiona kwa Ronaldo ndipo aka assist na then kufunga.

NB: Messi anaitwa The greatest footballer of all time sio tu kwasababu anafunga magoal mengi pekee ni pamoja na sanaa yake ya uchezaji ndio inayomtofautisha na wachezaji wengine include CR7 ndiyo inayofanya awe Exceptional na kupewa hiyo sifa.

Najivunia sana kuona era ya Messi bila kuhadithiwa kwa kweli kumpata mchezaji aina ya Messi itachukua muda sana ila ni rahisi kumpata Ronaldo.
Naunga mkono hoja ila nakosoa hitimisho. Takwimu za Ronaldo pia si rahisi kuzipata. Wangapi wanazo? Maana ili tuseme ni rahisi lazima ziwe common.

Sifa za Messi zimekamilika zenyewe, haziitaji mchezaji mwingine ili ziwe kamili.

Unless hizi mada ni za kishabiki au content tu kupata wachangiaji hapo sawa, ila kama ni za uchambuzi wa soka, Sioni haja ya kumponda Ronaldo pale ambapo Messi anahitaji kusifiwa.
 
Nikiwa kama mpenzi wa soka Ronaldo ni mchezaji Bora kama humfananishi na Messi ni vile ushabiki na mapenzi ya watu kwa mchezaji ndio ujitoa ufahamu. Mashabiki wa Ronaldo walikuwa wanalalamika kwamba wachezaji wenzake hawampi pass Ronaldo wanatakiwa wajue hili heshima huwa inakuja pale ambapo umeonesha una kitu, Ronaldo ukitoa magoal yake hana anacho offer uwanjani yaani asipotengenezewa nafasi ya goal hana anachotoa kwa wenzake ndio maana anakuwa mzigo kwa team badala ya kuwa ni msaada kwa Team.

Ukija kwa Messi, wachezaji wenzake wanaonekana wanampigania haijaja kwa bahati mbaya la hasha! Ni kwasababu ya uwezo wake binafsi wa kuibeba team ndio inampa hiyo heshima. Messi ana offer vingi uwanjani anadrible, anafunga magoli kwenye nyakati ambazo hutegemei na vile vile anatengeneza nafasi kwa wenzake mfano mzuri umeona kwenye mechi ya Jana Argentina ilikuwa imekata tamaa baada ya zile mbili Messi akaona hapati mipira mingi kati akaamua aswitch upande acheze kama Winger wa kulia hiyo inaitwa IQ ya mchezaji aliye bora hii haufundishi na kocha hapo kumbuka imebaki dk 11 mpira uishe impact ikawa kubwa akawa anakuwa more provider badala ya feeder kitu ambacho huwezi kukiona kwa Ronaldo ndipo aka assist na then kufunga.

NB: Messi anaitwa The greatest footballer of all time sio tu kwasababu anafunga magoal mengi pekee ni pamoja na sanaa yake ya uchezaji ndio inayomtofautisha na wachezaji wengine include CR7 ndiyo inayofanya awe Exceptional na kupewa hiyo sifa.

Najivunia sana kuona era ya Messi bila kuhadithiwa kwa kweli kumpata mchezaji aina ya Messi itachukua muda sana ila ni rahisi kumpata Ronaldo.
Sawa
 
Kwakweli mimi sio mshabiki wa Messi wala Ronaldo,ila kwenye hili kombe la dunia ukiangalia hawa wawili uchezaji wa Ronaldo ni wa kipuuzi sana,anachosubiria ni kutengenezewa mipira ili afunge,wakati ukiangalia kwa mechi ya jana Messi anapambana kila kona,kutafuta mipira ili afunge na hata kuwatengenezea wenzake.Ukienda mbali zaidi ni bora hata kuwa na mtu kama Haaland kuliko kuwa na Ronaldo...
Ronaldo sio Messi and He is 40+, amefika hapo sababu ya discpline ya vyakula, mazoezi na mtindo wa maisha.

Kwa umri wake, kama unampanga, jua namna ya kumtumia. Bench la ufundi ndo lilaumiwe sio Ronaldo.

Kuna sehemu nimemsoma Rooney alisema, Ronaldo ukiamua kumtumia mtumie kulingana na alivyo sasa, mlishe mipira ndani ya box, atadeliver sababu anajua kufunga. And that is true.
 
Ronaldo sio Messi and He is 40+, amefika hapo sababu ya discpline ya vyakula, mazoezi na mtindo wa maisha.

Kwa umri wake, kama unampanga, jua namna ya kumtumia. Bench la ufundi ndo lilaumiwe sio Ronaldo.

Kuna sehemu nimemsoma Rooney alisema, Ronaldo ukiamua kumtumia mtumie kulingana na alivyo sasa, mlishe mipira ndani ya box, atadeliver sababu anajua kufunga. And that is true.
Kwahiyo unataka kusema in 2 years time Messi naye atakuwa kama Ronaldo?wote ni wafungaji wazuri ila Messi atabakia kuwa mzuri zaidi...
 
Kwakweli mimi sio mshabiki wa Messi wala Ronaldo,ila kwenye hili kombe la dunia ukiangalia hawa wawili uchezaji wa Ronaldo ni wa kipuuzi sana,anachosubiria ni kutengenezewa mipira ili afunge,wakati ukiangalia kwa mechi ya jana Messi anapambana kila kona,kutafuta mipira ili afunge na hata kuwatengenezea wenzake.Ukienda mbali zaidi ni bora hata kuwa na mtu kama Haaland kuliko kuwa na Ronaldo...
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Kwahiyo unataka kusema in 2 years time Messi naye atakuwa kama Ronaldo?wote ni wafungaji wazuri ila Messi atabakia kuwa mzuri zaidi...
Tatizo ni kwamba, tupo kishabiki zaidi, and its ok but tukiachana na ushabiki, Ronaldo anasimama peke yake kama walivyosimama kina Abramovich, Neymar, Kaka n.k CR7 ni wa kipekee kwa namna yake, ametengeneza heshima yake kwenye soka.

Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea duniani. Hoja kwa wachambuzi, kwanini kumpa sifa Messi, kunamhitaji Ronaldo? Yaani most ya wachambuzi humu JF, hawezi msifia Messi bila kusema Ronaldo. Why?
 
Naunga mkono hoja ila nakosoa hitimisho. Takwimu za Ronaldo pia si rahisi kuzipata. Wangapi wanazo? Maana ili tuseme ni rahisi lazima ziwe common.

Sifa za Messi zimekamilika zenyewe, haziitaji mchezaji mwingine ili ziwe kamili.

Unless hizi mada ni za kishabiki au content tu kupata wachangiaji hapo sawa, ila kama ni za uchambuzi wa soka, Sioni haja ya kumponda Ronaldo pale ambapo Messi anahitaji kusifiwa.
Unajua boli wewe
 
Naunga mkono hoja ila nakosoa hitimisho. Takwimu za Ronaldo pia si rahisi kuzipata. Wangapi wanazo? Maana ili tuseme ni rahisi lazima ziwe common.

Sifa za Messi zimekamilika zenyewe, haziitaji mchezaji mwingine ili ziwe kamili.

Unless hizi mada ni za kishabiki au content tu kupata wachangiaji hapo sawa, ila kama ni za uchambuzi wa soka, Sioni haja ya kumponda Ronaldo pale ambapo Messi anahitaji kusifiwa.
Nimesema kwenye hiyo angle ya magoal kwa sababu Kuna mtu kama Mbappe na Hallaand wale jamaa aisee wanajua kufunga ile mbaya na Wana umri mdogo so wanauwezo wa kufika level hiyo ya Ronaldo. Earling Hallaand kacheza mechi 54 za team ya Taifa anagoal 62 Tena kwenye Taifa dogo la Norway ambapo hakuna mastaa kama Ureno anapocheza Ronaldo na hiyo ni takwimu zake za Team ya Taifa bado sijazungumza kwenye club level na umri wake bado mdogo na kwa Mbappe unaona kabisa yeye anashika nafasi ya pili ya ufungaji wa michuano ya Kombe la Dunia ana goal 16 overall so ana potential ya kuwa mchezaji mwenye magoal mengi of all time kwasababu bado ni mchezaji mdogo ana nafasi kubwa ya kushiriki michuano itakayofuata na kumbuka kwenye michuano hii ya Sasa kashafunga goal 7 na msimu uliopita kwenye club level alikuwa top scorer wa UEFA champions league na league kuu ya Hispania.
 
Kwakweli mimi sio mshabiki wa Messi wala Ronaldo,ila kwenye hili kombe la dunia ukiangalia hawa wawili uchezaji wa Ronaldo ni wa kipuuzi sana,anachosubiria ni kutengenezewa mipira ili afunge,wakati ukiangalia kwa mechi ya jana Messi anapambana kila kona,kutafuta mipira ili afunge na hata kuwatengenezea wenzake.Ukienda mbali zaidi ni bora hata kuwa na mtu kama Haaland kuliko kuwa na Ronaldo...
😂😂🤣🤣

Huwa Nina washangaa sana team Ronaldo kwakweli
 
Nimesema kwenye hiyo angle ya magoal kwa sababu Kuna mtu kama Mbappe na Hallaand wale jamaa aisee wanajua kufunga ile mbaya na Wana umri mdogo so wanauwezo wa kufika level hiyo ya Ronaldo. Earling Hallaand kacheza mechi 54 za team ya Taifa anagoal 62 Tena kwenye Taifa dogo la Norway ambapo hakuna mastaa kama Ureno anapocheza Ronaldo na hiyo ni takwimu zake za Team ya Taifa bado sijazungumza kwenye club level na umri wake bado mdogo na kwa Mbappe unaona kabisa yeye anashika nafasi ya pili ya ufungaji wa michuano ya Kombe la Dunia ana goal 16 overall so ana potential ya kuwa mchezaji mwenye magoal mengi of all time kwasababu bado ni mchezaji mdogo ana nafasi kubwa ya kushiriki michuano itakayofuata na kumbuka kwenye michuano hii ya Sasa kashafunga goal 7 na msimu uliopita kwenye club level alikuwa top scorer wa UEFA champions league na league kuu ya Hispania.
Lakini bado hawajimfikia mkuu, mpaka watakapofika alipo ndo utasema ni common.

Cumoom, the guy ana ndoto ya kufikisha magoli 1000, how is that common?

Ronaldo amefanya vizuri almost kwenye ligi zote alizocheza, how is that common?

Ronaldo kaikuta timu ya taifa ikiwa na sifa zipi na sasa ina sifa zipi how is that common?

Tunamuongelea ronaldo akiwa mshambuliaji mwenye umri mkubwa, 40, kwenye kombe la dunia, na kafunga how is that common?

Ronaldo amefanya mambo mazuri kwenye soka. Historia nzuri, itadumu sana.
MAKOFI KWAKE TAFADHALI.

Back to Messi.
Takwimu zinajieleza.
TUKAE KIMYA SEKUNDE KUMI KUSHUKURU KWA NAFASI YA KUSHUHUDIA MCHEZAJI WA AINA YAKE.

Kwani Kuna lililopungua?
 
Kwakweli mimi sio mshabiki wa Messi wala Ronaldo,ila kwenye hili kombe la dunia ukiangalia hawa wawili uchezaji wa Ronaldo ni wa kipuuzi sana,anachosubiria ni kutengenezewa mipira ili afunge,wakati ukiangalia kwa mechi ya jana Messi anapambana kila kona,kutafuta mipira ili afunge na hata kuwatengenezea wenzake.Ukienda mbali zaidi ni bora hata kuwa na mtu kama Haaland kuliko kuwa na Ronaldo...
Haaland damu bado mbichi, mtu kama Ronaldo ana zaidi ya miaka 40, hivi unategemea kweli akasimame na vijana kushindana nao kasi? Sio kweli.

Kuna muda nalazimika kuamini kuwa Ronaldo anapata namba pale Portugal kutokana na nguvu yake kifedha kumshawishi kocha. Hata Neymar unaona tu huyu jamaa kuna sehemu kamwaga ela ili tu aitwe timu ya Taifa.
 
Ronaldo sio Messi and He is 40+, amefika hapo sababu ya discpline ya vyakula, mazoezi na mtindo wa maisha.

Kwa umri wake, kama unampanga, jua namna ya kumtumia. Bench la ufundi ndo lilaumiwe sio Ronaldo.

Kuna sehemu nimemsoma Rooney alisema, Ronaldo ukiamua kumtumia mtumie kulingana na alivyo sasa, mlishe mipira ndani ya box, atadeliver sababu anajua kufunga. And that is true.
Mbona hata Messi ana umri mkubwa miaka 38 mkuu ni midogo? Lakini anafanya vitu vyote assist na kufunga kitu ambacho usichojua Messi ana natural talent ambayo inamfanya afanye vyote kwa pamoja hata akifika huo umri maana tofauti yao ni miaka miwili tu. Na Mimi sijasema Kama Ronaldo ni mchezaji mbaya ni mchezaji Bora naheshimu Hilo kutokana na mambo alivyofanya kwenye mpira ikiwemo kufunga 950+ goal lakini ukija kumfananisha na Messi ndipo watu wanapoharibu kwasababu Messi ni full package ya mchezaji ni sawa na Leo hii umfananishe Ronaldo De Lima na Hallaand ni kuukosea mpira heshima ingawa Hallaand ana goal nyingi lakini Ronaldo De Lima ni striker mwenye package ya kipekee hakupi magoal pekee sanaa yake ya mpira ndio inayomtofautisha na ma strikers wengine hiyo ndio maana kuitwa bora
 
Back
Top Bottom