Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kocha nguli wa soka duniani, José Mourinho, amebatiza mchezo wa ushindi wa mabao 3-2 wa Argentina dhidi ya Misri kuwa ni "filamu iliyoandaliwa matokeo tangu mwanzo," akilalamikia vikli maamuzi ya...
25 Reactions
73 Replies
2K Views
Amefariki akiwa na umri wa miaka 94 (asante Mungu) Alikuwa mwamba wa Chelsea kwa kipindi kirefu
0 Reactions
3 Replies
118 Views
1-Uhispania ni moja ya timu ninayoipenda na kuishabikia, na ligi yao vile vile nimetokea kuipenda sana, pia ni shabiki wa Barcelona.... 2-Argentina ni first team kuipenda na kuishabikia, tena...
0 Reactions
3 Replies
84 Views
Watu wengi wamekuwa na maoni kwamba Erling Haaland ana muonekano kama wa mwafrika. Sura ya Haaland ni features za kiafrika isipokuwa ngozi na nywele ndio vya mzungu. Wengi wanamfananisha na wa...
2 Reactions
30 Replies
698 Views
Itakuwa bonge la mechi ambayo itawakutanisha Morocco the Atlas Lions na Ufaransa Les blues katika hatua ya robo fainali kwenye michuano ya kombe la dunia yanayoendelea Marekani, Mexico na Canada...
5 Reactions
18 Replies
282 Views
  • Featured
Baada ya Senegal kuondolewa kwa maumivu katika hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kufungwa mabao 3-2 na Ubelgiji, nyota wa timu hiyo, Sadio Mané, ametangaza kustaafu kuchezea timu ya...
7 Reactions
24 Replies
727 Views
Wakuu! Siku hizi kila nikifungua mtandao nakutana na theory mpya kuhusu Portugal kupangwa kuwa mabingwa na kundi la siri. Kuna wanaotaja ile scene ya The Simpsons katika “The Cartridge Family”...
17 Reactions
161 Replies
3K Views
Ila FIFA kwahiyo migogoro ya kisiasa ndio unahalisha ubaguzi wa kimechezo kama huu tena toka miaka 1980... ====== Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limepiga marufuku waamuzi wa kimataifa...
2 Reactions
9 Replies
377 Views
Robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 itashuhudia Hispania na Ubelgiji wakikutana katika mechi yao ya kwanza ya ushindani ndani ya takribani miaka 17, baada ya kila timu kufuzu kwa njia tofauti...
4 Reactions
11 Replies
375 Views
Kwa kinacho tokea world cup kuna namna kama huo msemo una coleration flani na reality Angalia, jinsi timu zinavyo hustle, zinakamia mwanzoni then baadae ni kama wanaingiwa pepo uzembe, wanaanza...
16 Reactions
173 Replies
2K Views
Timu ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Morocco katika mchezo wa robo fainali. Mabao ya...
4 Reactions
189 Replies
3K Views
Hali iliyopo Kambini ni ya furaha sana maana utabiri unaonesha kuwa Morocco imefanikiwa kumwondoa France katika hatua hii ya Robo Final. Kwa kweli haikuwa kazi rahisi. Mizimu yote ya Kiarabu...
6 Reactions
74 Replies
1K Views
Timu za Afrika kwenye Kombe la dunia zimeonesha tabia zetu halisi kwenye mashindano ya Kombe la dunia. 1. Wachoyo wa kupasiana (ubinafsi) 2. Wazito wa kufanya maamuzi Kwa wakati. 3. Kila...
13 Reactions
36 Replies
664 Views
Hapa ni mahala salama kwa mpenzi wa Dream League Soccer(DLS). Game hili limetengenezwa na Kampuni ya FIRST TOUCH SOCCER(FTS). Game la DLS ni game bora zaidi kwa sasa duniani kwa upande wa soccer...
23 Reactions
5K Replies
199K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo kufuatia malalamiko...
2 Reactions
8 Replies
529 Views
Jana team yetu weusi imeshinda dhidi ya weupe. Kiukweli nliombea sana hilo litokee sababu sikupenda wale weupe wapate ushindi. Mbape, Dembele hawa asili yao ni huku huku kwetu nimefuatilia kumbe...
0 Reactions
3 Replies
124 Views
Dk.45 Morocco 0 0 France Dk. 65 -75 Morocco 0 1 France Dk.90- 93 (nyongeza ) Morocco 1 1 France Penalty Morocco 5 4 France
1 Reactions
17 Replies
215 Views
Michezo ni moja ya nguzo kuu katika maisha ya vijana ambayo humkuza kijana kiakili,kimwili,kitabia na kijamii. Licha ya serikali kutoa mchango mkubwa ili kukuza michezo kwa vijana nchini, ombwe...
0 Reactions
2 Replies
79 Views
The final chapter of Cristiano Ronaldo’s World Cup & International story has been written. For two decades, football fans across the world watched one man carry the weight of expectations, break...
2 Reactions
4 Replies
270 Views
Back
Top Bottom