Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ngao ya Jamii Kuzindua Rasmi Msimu Mpya wa Mashindano ya TFF Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kuwataarifu wadau na mashabiki wa soka kuwa mechi...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Sitaki nirejee nukuu ya Rage alivotupatia jina letu pendwa. Sisi wanasimba Leo tumebubujikwa na machozi ya furahia kama Mwashamba kutoka jukwaa la siasa baada ya ushindi fake wa Wallace Karia...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Nimetengeneza kundi la wasap nimewaunganisha watu 100 na kuwaomba sana ijumaa mtoko ni Lupaso tu not otherwise. Chonde chonde mtanzania Morroco atakufa kWa umoja na mshikamano Waganda wako juu...
1 Reactions
25 Replies
933 Views
Simba SC imefungwa mabao 4-3 na ENPPI SC ya Misri katika mchezo wa pili kirafiki uliochezwa Jumapili, Agosti 17,2025 kujiandaa na msimu mpya wa 2025/2026. Mabao ya ENPPI SC mawili yalifunwa kwa...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu hili kitendo kimenishtua sana Mimi kama mdau wa soka no 1 Africa Professionally Ahmed ally ni mkuu wa kitengo Cha habari Cha wanasimba so why timu iwe misri yeye awe bongo??...nani...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Achana na magoli ya Pacome,Boyeli na Nondo,achana na kasi ya umeme ya Ecua na Chikola ila naomba tuzungumzie “Romain Folz Ball” Mechi ya kwanza ya ushindani ya Folz wote tumeiona,anataka timu...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Mashindano ya Chan ambayo ni mashindano yanayohusisha wachezaji wnaocheza ligi za ndani kwa nchi za Africa Kwa nchi za Africa Misri ndio nchi yenye ligi yenye ubora kwa miaka mingi Lakini cha...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba ( 7 ) hadi Kumi ( 10 ) Kumpongeza Rais Samia...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya kumsikia Mtu wako wa Karibu akisema unataka Kurudi Tanzania namtafuta Mganga akufunge Akili usirejee TZA.
1 Reactions
11 Replies
770 Views
Sio habari nzuri na huwa sipendi kutia watu matumaini Naandika kile nachokiamin Naoona final ya chan Tanzania vs 🇰🇪 Ft Kenya anakuwa bingwa All dbest Mawazoo haya n yangu hayafungamani na...
0 Reactions
4 Replies
594 Views
Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Bayern Munic. Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri...
20 Reactions
255 Replies
16K Views
Kupitia mitandao yao ya kijamii, Yanga imetangaza kwamba wamepata misiba miwili ya mchezaji wake mmoja na kocha wao kupoteza wazazi wao. Katika kumbukumbu zangu za haraka, hii ni baadhi ya misiba...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
"Ukisema kwamba Simba kufungwa isiwe presha kubwa kwasababu wapo pre season sio kweli, hata ukiwa pre season unatakiwa kushinda kwasababu moja ya vitu ambavyo unatazama pre season ni pamoja na...
1 Reactions
14 Replies
736 Views
Habari JF, habari wapenzi wa Fantasy football. Msimu wa ligi kuu Uingereza 2025/26 (EPL) unaanza tarehe 15/8/2025 , jiunge na JamiiForums Fantasy League uoneshe umahiri wako katika kupanga...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Ushauri wa bure kwa makocha pamoja na wachezaji wetu wa Taifa Stars, pateni muda kisha tizameni lwa umakini mechi iliyo pogwa usiku huu kati ya jirani zetu Waganda na Wajukuu wa Mandele mtajifunza...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Hebu wananzengo tuongezeane uelewa kwenye nyanja ya football: Je, kuna kifungu kwenye katiba ya FIFA, CAF, CECAFA au TFF kinachokataza chama cha siasa kumiliki timu ya mpira wa miguu? Je, FIFA...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Mlionywa mapema sana kuwa Msikurupuke ila kwakuwa mnajifanya nyie ni Wakubwa na mna Hela mkadharau sasa mmeshaumbuka na mnajuta kuingizwa Kingi kumsajili Mchezaji mbovu Conte.
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Mzee Mangara Tabu Mangara, (mwenye kofia), alikabidhi hundi ya shilingi 10,000 kwa Mzee Omari Londo, Mwenyekiti wa TANU wa mkoa wa Dar es Salaam mwaka 1974...
0 Reactions
12 Replies
483 Views
Je ni Yanga, Hersi Saidi au GSM? unadhani ni kwanini? Taarifa zingine zinadokeza kwamba Timu ya Yanga haina hata Akaunti ya Benki, hata kama wanapaswa kulipwa hizo hela watawekewa wapi au...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
I pray for Taifa star, majirani pamoja na kocha wao wamekuwa na nongwa kweli,naamuru Kamati zote zianze kazi mapema,kwani fedhea haikubaliki kwa dhati kabisa!
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom